Fahari ya kusini
JF-Expert Member
- Nov 26, 2022
- 427
- 1,668
Wakuu wajuzi wa mambo msaada naombeni mnipe mawazo kidogo hivi kati ya degree ya nursing anaesthetic,general nursing, clinical nutrition na physiotherapy ipi iko marketable wakuu?
Clinical nutrition sio ishu sana mkuuMkuu... ni mtazamo wangu tu lakini, ina depend kama una muda like, majukumu hayakubani... general nursing ni nzuri, kisha una top up anaesthetic. General nursing inahitajika kwa wingi duniani kote. Anaesthetic nursing bongo ilipata demand kubwa ghafla baada ya hayati Uncle Magu kujenga hospitali nyingi kama utitiri zenye uwezo wa upasuaji, hongera ziende kwake. Lakini mfano alivoanza kununua vifaa vya hospitali vikubwa vikubwa, rate ya biomedical students ikapanda, ila tangu afe, hmm hao biomedical anaejua hatma ya ni Mungu "Al-Rahman" (mwenye upendo mkuu)...
Anyway, kuhusu nutrition wabongo bado wanakula matunda, subiri yote yaishe mbegu kwanza lasivyo utakua kama walogundua internet ya satellite mwaka 1961...
Kuhusu physio sijui sana mkuu apo...
Iyo ata wagonjwa wa kisukari washabobea...Kwahiyo
Clinical nutrition sio ishu sana mkuu
Ni zipi mtu anaweza kwenda kusoma bachelor ukiachana na general nursing?Iyo ata wagonjwa wa kisukari washabobea...
Ni yale yale tu,
Achana na mafuta, chumvi usiongezee juu ya chakula, fanya mazoezi kunywa maji mengi...
Anyway inategemeana na mgonjwa na mgonjwa...
Lakini, bongo hio kazi anafanya daktari husika,,,
Mfano, wa figo, wa masuala ya homoni nknk...
Au hata manesi walobobea...
Labda kama we unakotoka kuna ukwasi, uanzishe kitengo cha tiba kupitia chakula, ama kitengo cha utafiti wa tiba kutokana na vyakula... kama South Africa...
Hapo sawa.
Tofauti na hivo, passion ni matunda tu sio hobby,,, weka pembeni komaa na kazi zenye soko.
General Nursing Mana inabeba yote hayoWakuu wajuzi wa mambo msaada naombeni mnipe mawazo kidogo hivi kati ya degree ya nursing anaesthetic,general nursing, clinical nutrition na physiotherapy ipi iko marketable wakuu?
Tafadhali lakini,sasa kwa nursing kazi ipi ina
Ni zipi mtu anaweza kwenda kusoma bachelor ukiachana na general nursing?
Yaani mimi niko kwenye system tayari aisee kwahiyo nataka nika upgrade tu naona hapa watu wengi sana wanaenda kuchukua hiyo clinical nutritionMkuu... kuna vitu ni basic(vya msingi) alafu kuna vitu ni secondary to (vitokanavyo).
Hii inafanana kuanzia katika elimu mpaka uchumi...
Mfano, kilimo ni basic, ila viwanda, masoko ya kimtandao na akili mnemba ni secondary, tertiary na nknk...
Maana ake, unaeza ishi bila e commerce wala viwanda wala akili mnemba (AI) Ila huezi ishi bila kilimo.
Namaanisha, any basic course nchini soma, hio itakua kama mama, utaikimbilia kila ukikwama...
Kisha, take your time, research course zinazolipa kwa wakati huo kama secondary.
Anything technical pays, kwa course yoyote ile. Shida ni msingi tu.
Wapo wengi leo wamefanikiwa kwa vi fellowship vya miezi sita, mpaka mwaka, lakini walianzia a primary course.
Ni hayo tu mkuu,,, kila basic course ni nzuri. Secondary itaamua hatma ya uhuru na pesa utazopata.
Kuna kitu unachanganya huelewi tofuti kati ya Nurse Anaesthetist (RN/EN with certificate in Anaesthesia) na Anaesthetist officer (BSN in Anaesthesia)Mkuu... ni mtazamo wangu tu lakini, ina depend kama una muda like, majukumu hayakubani... general nursing ni nzuri, kisha una top up anaesthetic. General nursing inahitajika kwa wingi duniani kote. Anaesthetic nursing bongo ilipata demand kubwa ghafla baada ya hayati Uncle Magu kujenga hospitali nyingi kama utitiri zenye uwezo wa upasuaji, hongera ziende kwake. Lakini mfano alivoanza kununua vifaa vya hospitali vikubwa vikubwa, rate ya biomedical students ikapanda, ila tangu afe, hmm hao biomedical anaejua hatma ya ni Mungu "Al-Rahman" (mwenye upendo mkuu)...
Anyway, kuhusu nutrition wabongo bado wanakula matunda, subiri yote yaishe mbegu kwanza lasivyo utakua kama walogundua internet ya satellite mwaka 1961...
Kuhusu physio sijui sana mkuu apo...
Soma Physiotherapy. .!Wakuu wajuzi wa mambo msaada naombeni mnipe mawazo kidogo hivi kati ya degree ya nursing anaesthetic,general nursing, clinical nutrition na physiotherapy ipi iko marketable wakuu?
Anha, basi top up tu mkuu... anaesthesia,,Yaani mimi niko kwenye system tayari aisee kwahiyo nataka nika upgrade tu naona hapa watu wengi sana wanaenda kuchukua hiyo clinical nutrition
Ahh, makosa katika uandishi si unajua binadamu sio akili mnemba,,,Kuna kitu unachanganya huelewi tofuti kati ya Nurse Anaesthetist (RN/EN with certificate in Anaesthesia) na Anaesthetist officer (BSN in Anaesthesia)
Yeah ndiyo hapo mimi nilikuwa naulizia hiyo BSN in Anaesthesia niambie chochote mkuuKuna kitu unachanganya huelewi tofuti kati ya Nurse Anaesthetist (RN/EN with certificate in Anaesthesia) na Anaesthetist officer (BSN in Anaesthesia)
Wakuu wajuzi wa mambo msaada naombeni mnipe mawazo kidogo hivi kati ya degree ya nursing anaesthetic,general nursing, clinical nutrition na physiotherapy ipi iko marketable wakuu?