Msaada: Hili ni tatizo gani?

Msaada: Hili ni tatizo gani?

View attachment 2625028

Tumemaliza Maabara, kwa mujibu wa daktari amesema;
RPR -NIL-
MRDT -NIL-
Urinalysis -Kuna wadudu-

Physical check kwenye dudu, Dr kasema ni fungus infection.

Tumeandikwa Dawa na tunarejea nyumbani kwa ajili ya kuanza kuzitumia.
Basi zingatia usafi. Osha mapumbu yako na uyakaushe vizuri kwa taulo safi. Vaa nguo za ndani safi na usirudie.

Kama husikii tena maumivu wakati wa kukojoa hakuna shida. Zingatia dozi.
 
Basi zingatia usafi. Osha mapumbu yako na uyakaushe vizuri kwa taulo safi. Vaa nguo za ndani safi na usirudie.

Kama husikii tena maumivu wakati wa kukojoa hakuna shida. Zingatia dozi.
Asante Dr,

Tayari nimeanza dozi ya kunywa na kupakaa kwenye dudu.

Mungu anisaidie nipone tatizo wangu maana siko na raha halafu inaniondolea confidence na trust kwa mwenzangu.
 
Kwani hawezi kunywa dawa hadi umwambie !??, yeye ni mtoto!!?🤣🤣
20230517_131207.jpg


Basi sawa,

Nashukuru kwa ushauri wako, nitazingatia kunywa dawa kwa wakati na kumaliza dozi niliyopewa ndani ya siku kisha nitakuja kuleta mrejesho hapa hapa nikiambatanisha picha ya mdudu.
 
😆😆😆😂😂 We acha tu,nipo naangalia kila mwanaume anae pita mbele yangu na mzoom tu,najisemea moyon sijui na huyu ana saiz hii au Le kiba 💯 z. 😂😅😅😅


Pole sana 🤣🤣
 
Back
Top Bottom