Msaada: Hili ni tatizo gani?

Msaada: Hili ni tatizo gani?

Habari Madaktari na wanadau wengine huku ndani.

Kama wahenge wasemavyo "Mficha maradhi Kifo Humuumbua" nipo njiani narudi tena hospital kuonana na daktari kufanya uchunguzi na kupata matibabu lakini ningependa kuwashirikisha na naomba msaada wenu juu ya tatizo langu...
Picha Iko wapi
 
Walikupima kaswende??
Nenda hosp na mkeo mkatibiwe wote
Tuko hospital (Mimi na Mwenzangu)

Mwanzon tulipimwa Choo, Mkojo na Malaria.

Nitaleta mrejesho.

20230517_113142.jpg
 
Ulimuonesha daktari dhakari yako na kumuelezea unavyojisikia? Sikuona sababu ya kupima stool. Urine okay.

Nakusihi leo uende tena kwa uchunguzi zaidi. Usimsahau mwenza wako kama una uhakika hukufanya na mwingine yeyote. Inawezekana yeye ndiye mwenye shida. Kujitibu huku ukimuacha yeye, ni kupunguza tu tatizo. Siyo kulimaliza kabisa.
Asante Dr,

Mara ya kwanza nilimweleza daktari ninavyojihisi, wala has hakutaka nimwoneshe dhakari yangu zaidi ya kunisikiliza na kunipa dawa.

Leo tuko hospital na mwenza wangu ili tuweze kupima na kupata matibabu zaidi kwa pamoja.
20230517_115806.jpg
 
Asante Dr,

Mara ya kwanza nilimweleza daktari ninavyojihisi, wala has hakutaka nimwoneshe dhakari yangu zaidi ya kunisikiliza na kunipa dawa.

Leo tuko hospital na mwenza wangu ili tuweze kupima na kupata matibabu zaidi kwa pamoja.
View attachment 2624999
Safi. Hiyo RPR itadetect Syphilis na Urinalysis itaweza kuonesha uwepo wa Gonorrhea
 
Safi. Hiyo RPR itadetect Syphilis na Urinalysis itaweza kuonesha uwepo wa Gonorrhea
20230517_121913.jpg


Tumemaliza Maabara, kwa mujibu wa daktari amesema;
RPR -NIL-
MRDT -NIL-
Urinalysis -Kuna wadudu-

Physical check kwenye dudu, Dr kasema ni fungus infection.

Tumeandikwa Dawa na tunarejea nyumbani kwa ajili ya kuanza kuzitumia.
 
Majibu ya mwenzangu:
RPR -NIL-
MRDT -NIL-
Urinalysis -Kuna wadudu wachache-

Na yeye kaandikiwa dozi yake.
 
Kijana wangu pole sana hilo gonjwa dogo amini utapona but jitahidi next time ungonoke na wanawake wasafi, wanawake wengi wa kibongo ni wachafu sana sehem za siri.. kwa utafiti wangu lakini..
 
Iyopicha mbn ata siioni kama ujachepuka basi mkeo sio mwaminifu na ugonjwa huo dalili zake kwa mwanamke ni ngumu kutambua. Umechovya tu likaangukia kwako pole sana gonorrhea ,Kaswende n.k ni vitu husmabaa kwa kasi zaidi jitaidi kula pipi na Ganda lake
 
Vijana wa ovyo hawasumbuki siku hizi. Ni mwendo wa Azuma na ANTIBIOTICS za Ng'ombe.

Ukidungwa (1X3)3 unakauka kau. Sema kizunguzungu mixer kutapika ni hatari. Unaweza kutapika utumbo.


Anyways mchumba janga, ula na wa kwao.


Nb: Pooe saana mkuu
 
Back
Top Bottom