COMOTANG
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 2,131
- 1,809
Buku au Mia 5Shilingi ngapi hiyo iodind tincture?
Buku au Mia 5Shilingi ngapi hiyo iodind tincture?
utamuua mwenzioKamuone daktari wa magonjwa ya zinaa.
Pia usile mbususu kwa miezi 6.
Chukua huu ushauri Mkuu,Kabla ya yote kanunue iodine tincture halafu mwagia,halafu subiri kwa siku 3 uone je kina dalili ya kupona? Kama ndio usimeze dawa yoyote kapime sukari ujue kiwango. Na Kama hajuna dalili ya kukauka au kupona kapime magonjwa ya zinaaa Mkuu halafu Nipe mrejesho wa majibu pm
Huwa kuna shaving machine huko huko hospitali, acha aende...Uende hosp, unyoe ndiyo uende.
AsanteKuna vipele ambavyo kitaalam vinaitwa genital warts hutokea sehemu za siri vingine vinakuwa vingi au kinaweza tokea kimoja kama hicho cha mleta uzi, ukikitumbua kinatoka damu nyingi vinasababishwa na kirusi kiitwacho HPV unaambukizwa kwa kujaamiana na mtu mwenye nao
Ninastahili awardNdio hii ni kweli
Chunga Sana shavers hua ndo source unless punguza uzinZMficha maradhi kifo humuumbua nimeweka na picha
Kilianza miezi 3 iliyopita kama kipele tu sasa hivi ndo kama unavyokiona
Hakiponi kabisa nilijitahidi kukanda na maji moto na chumvi lakini wapi
Kinakaa kinavimbia utadhan usaha kumbe kinavimbia damu tu
Nakosa hata raha ya kuwaza kushiriki tendo la ndoa
Kinakua kinavimbia damu tu kila mara na inakua hivyo bila kupona nisaidieni nitumie dawa gani kikauke na kipone?Nilikua natumia hair removal kushave nywele nimeacha kwa maana ilikua ikinichubua huko mpaka sasa nahofia kufanya hivyo maana ninahofia kitachubuka zaidi
Kuna vijipele hutokea mtu akijinyoa, labda alijinyoa kikatokea akakipasua na kuendelea kukikuna kutokana na muwasho
hata buku 4 haifikShilingi ngapi hii?
Ingekua vimetoka zaidi ya kimoja ,yes tungesema ni Genital wart.Kama kinakuwa na damu basi Genital wart hiyo mkuu, inatokana na HPV
Ila nyoa vuzi mkuu
upo collect kbisa chif..hili donda ni gonjwa liitwalo herpes genitalis...ni.maradhi ya ngono...dawa unatumia ya kupaka na kumeza...tafuta dawa inaitwa Acyclovir..tumia ya kumeza na kupaka na achana na ngono Hadi upone..
Mbona hata kimoja pia kinatokaga, hpv ina aina nyingi, kuna jamaa yeye kilikuwa kinatoka kimoja tu kilimtoka kwenye pumb..u akapaka dawa kikapotea baadae kikatoka kwenye paja pembeni ya pumb..uIngekua vimetoka zaidi ya kimoja ,yes tungesema ni Genital wart.