kjembe
Member
- Jan 9, 2015
- 45
- 29
Wasalaam wadau naombeni ushauri, nina mdogo wangu wa kike yupo kidato cha nne sasa amekuwa akisumbuliwa na kikohozi kikavu(kisicho na makohozi) tangu mwezi february.
Baada ya kumpeleka hospitali walimpima vipimo kadhaa vikiwemo, minyoo, tyhpoid, malaria, full blood picture japo kuwa makohozi hayakuwepo hivyo hayakuchukuliwa
majibu yalionekana ana minyoo na upungufu wa damu kidogo, akapewa dawa za minyoo na ile syrup ya kuongeza damu.
Kifua kilitulia kwa muda wa wiki moja ya pili kikarudia tena, daktari akashauri aendeleze dawa za minyoo lakini bado kifua kinarudia juzi tu ameshauri achome sindano za allergy akisema pengine inaweza kuwa ni mzio(allergy).
Sasa wazazi wamekuwa na hofu kwa maana mtoto tangu azaliwe hana historia ya kifua na tiba anapewa lakini wapi.
Msaada wenu wana JF natumai mtanisaidia mawazo.
Natanguliza shukrani,
Baada ya kumpeleka hospitali walimpima vipimo kadhaa vikiwemo, minyoo, tyhpoid, malaria, full blood picture japo kuwa makohozi hayakuwepo hivyo hayakuchukuliwa
majibu yalionekana ana minyoo na upungufu wa damu kidogo, akapewa dawa za minyoo na ile syrup ya kuongeza damu.
Kifua kilitulia kwa muda wa wiki moja ya pili kikarudia tena, daktari akashauri aendeleze dawa za minyoo lakini bado kifua kinarudia juzi tu ameshauri achome sindano za allergy akisema pengine inaweza kuwa ni mzio(allergy).
Sasa wazazi wamekuwa na hofu kwa maana mtoto tangu azaliwe hana historia ya kifua na tiba anapewa lakini wapi.
Msaada wenu wana JF natumai mtanisaidia mawazo.
Natanguliza shukrani,