Decoration
Member
- Oct 27, 2018
- 63
- 88
- Thread starter
- #81
NdioMungu ni mwema kaka
Ila umenyoa vuzi mkuu(utani tu)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioMungu ni mwema kaka
Ila umenyoa vuzi mkuu(utani tu)
Could be true....this one is hidden TruthUnahitajika kusafisha damu, kuna kitu watu hawaja note huwa kinaweza kukauka kwa njee alfu ndani kikavima na ukikigusa unaweza sema unajipu na ukikikamua kunatoka damu, sio ishu ya cream ni damu chafu mkuu. Dawa ya kusafisha damu ninayo na ukitaka kufanya diet mwenyewe tumia mbogamboga zenye iron Florine kwa wingi mfano, Mchunga, mnavu na matunda na kuachana na vyakula vyenye mafuta kwa wingi na vyenye cholesterol nyingi.
Ni lazima kutibu source ya ugonjwa na sio symptoms. Jitahidi kufunga fasting inasaidia hata mara mbili kwa wiki ukishindwa waweza kufunga ukanjwa maji tu hii itakusaidia kusafisha mwili mzima.
Nake Truth.
Mkuu kwa maana hiyo aloe vera na kitunguu swaumu ndo tiba uliotumia hadi kupona.??Mrejesho:Nilichelewa kuja kutoa mrejesho humu ndani kuhusu kidonda changu Lakini baada ya kutoka hapa niliuchukua ushauri nikaenda hospital ambapo kwa bahati mbaya niliambiwa Bima yangu haijawa activated hivyo nikakosa huduma..
Halaf hichi kidonda hakikuwa na association yoyote au uhusiano na history yangu ya kuugua kabisa maana kuna watu walikua wanafukua thread zangu sijawah kuugua magonjwa ya zinaa kabisa maishani mwangu na wala sio mtu wa kujiachia sana, ni muangalifu sana nina mpenzi mmoja tu mwaka wa 8 huu
Nikamcheki dr mmoja nguli mwenye hospital yake kupitia watsaap nikamuelezea akanambia niende matibabu yake ni elfu 75 kwa kuanzia..Nikaona ngoja nisubiri kwanza
Nilishauriwa niende duka la dawa pia lakini wakati nikiwa kwenye kuwaza nichague chaguo lipi maana kilikua kimevimbia damu, nikasoma kitabu kimoja hivi ambacho nilikua nacho cha anti bacteria and anti viral herbals ambacho nilikua nimekinunua nikawa nimekipuuza tu muda mrefu kujisomea ndo nikakuta kwamba aloevera na kitunguu swaumu kwa pamoja vinakausha vidonda na ni antiviral na antibacterial pia...
Nikatafuta aloevera maana nimepanda nyumbani, nikaikata ule utomvu wake nikaukamua nikakoroga pamoja na kitunguu swaumu kilichosagwa nikapaka then nikapafunga na bandeji ili hiyo dawa isitoke nikafanya hivyo kwa kuweka aloevera na kitunguu swaumu asubuhi na jioni
You can't believe kidonda kimekauka ndani ya siku 2 tu
Baada ya kukauka nikawa naendelea kupaka kama siku 7 hivi kimepona kabisa uvimbe umekwisha yaani ukiambiwa nilikuaga na kidonda kikubwa hapo mahali huwezi amini panavyoonekana utadhani hapajawahi kuwa na uvimbe na kidonda..