Decoration
Member
- Oct 27, 2018
- 63
- 88
- Thread starter
- #21
Inapatikana wapi na bei gnTumia SKIDERM!! Punguza kuvaa nguo za kukubana sehem zako nyeti.
Inapatikana wapi na bei gnTumia SKIDERM!! Punguza kuvaa nguo za kukubana sehem zako nyeti.
Ni kweli nilikua natumia hair removal ilikua inanichubua SanaKuna vijipele hutokea mtu akijinyoa, labda alijinyoa kikatokea akakipasua na kuendelea kukikuna kutokana na muwasho
Pia nilitumia hair removal ilikua inanichubua mno mkuuNi mchubuko tu huo wa kawaida.. Sema kwa nature ya ngozi ya sehem za siri huwa inakuwa na layer ya mafuta ndo maana kidonda kinachelewa kupona.
Pia anahisi kina usaha, kiuhalisa hakuna usaha ila ni ngozi ya ndani nyeupe ambayo ni layer ya fat(mafuta)
Cha msingi ahakikishe anapunguza mazingira ya unyevu nyevu sehem hizo na kuepuka kuvaa nguo za kubana
Dawa ya HPV ni nini?Kuna vipele ambavyo kitaalam vinaitwa genital warts hutokea sehemu za siri vingine vinakuwa vingi au kinaweza tokea kimoja kama hicho cha mleta uzi, ukikitumbua kinatoka damu nyingi vinasababishwa na kirusi kiitwacho HPV unaambukizwa kwa kujaamiana na mtu mwenye nao
Shilingi ngapi hii?tafta dawa ya kupaka inaitwa epiderm ya blue tube yake hii kiboko ya magonjwa ya ngoz
View attachment 1900328
Hii huwa haizidi elfu 5!! Pharmacy yoyote unapata..Inapatikana wapi na bei gn
Asante ngoja nikaitafuteHii huwa haizidi elfu 5!! Pharmacy yoyote unapata.. View attachment 1900341
Duh pole,meza ampiclox 1*3 na tafuta dawa ya kupaka inaitwa Lucin ( hydrocortisone ointment) ujipake asubuh na jioni...na Hilo vuzi ulinyoe uwe msafi kabsa sababu hzo nywele zinavokugusa hapo lazma ujikune na jitahid uwe mkavu mda woteSamahanini kama nimewakwazaView attachment 1900244
Kwani si nimeshakwambia nashindwa kutumia hair remover kushave hapo kwa sababu ya maumivu?Loooo
Umeshindwa hata kunyoa kwanza?
Ndio hii ni kweliKuna vijipele hutokea mtu akijinyoa, labda alijinyoa kikatokea akakipasua na kuendelea kukikuna kutokana na muwasho
Shilingi ngapi hiyo iodind tincture?Kabla ya yote kanunue iodine tincture halafu mwagia,halafu subiri kwa siku 3 uone je kina dalili ya kupona? Kama ndio usimeze dawa yoyote kapime sukari ujue kiwango. Na Kama hajuna dalili ya kukauka au kupona kapime magonjwa ya zinaaa Mkuu halafu Nipe mrejesho wa majibu pm
Nijuavyo Haina dawa ila kama umetokwa na genital warts kuna dawa za kuziondoa, kuna dawa ya kupaka na nyingine kuna pencil ya kuunguza hizo wartsDawa ya HPV ni nini?
Ngoja nichek pm yakoKabla ya yote kanunue iodine tincture halafu mwagia,halafu subiri kwa siku 3 uone je kina dalili ya kupona? Kama ndio usimeze dawa yoyote kapime sukari ujue kiwango. Na Kama hajuna dalili ya kukauka au kupona kapime magonjwa ya zinaaa Mkuu halafu Nipe mrejesho wa majibu pm
Buku au Mia 5 KICHUPA mkuuShilingi ngapi hiyo iodind tincture?
Poa ngoja niende phamacy fastaBuku au Mia 5 KICHUPA mkuu
Hiyo sio wart mkuu hiko Ni kipeleNijuavyo Haina dawa ila kama umetokwa na genital warts kuna dawa za kuziondoa, kuna dawa ya kupaka na nyingine kuna pencil ya kuunguza hizo warts