Decoration
Member
- Oct 27, 2018
- 63
- 88
Mficha maradhi kifo humuumbua nimeweka na picha
Kilianza miezi 3 iliyopita kama kipele tu sasa hivi ndo kama unavyokiona
Hakiponi kabisa nilijitahidi kukanda na maji moto na chumvi lakini wapi
Kinakaa kinavimbia utadhan usaha kumbe kinavimbia damu tu
Nakosa hata raha ya kuwaza kushiriki tendo la ndoa
Kinakua kinavimbia damu tu kila mara na inakua hivyo bila kupona nisaidieni nitumie dawa gani kikauke na kipone?Nilikua natumia hair removal kushave nywele nimeacha kwa maana ilikua ikinichubua huko mpaka sasa nahofia kufanya hivyo maana ninahofia kitachubuka zaidi
Mrejesho:Nilichelewa kuja kutoa mrejesho humu ndani kuhusu kidonda changu Lakini baada ya kutoka hapa niliuchukua ushauri nikaenda hospital ambapo kwa bahati mbaya niliambiwa Bima yangu haijawa activated hivyo nikakosa huduma..
Halaf hichi kidonda hakikuwa na association yoyote au uhusiano na history yangu ya kuugua kabisa maana kuna watu walikua wanafukua thread zangu sijawah kuugua magonjwa ya zinaa kabisa maishani mwangu na wala sio mtu wa kujiachia sana, ni muangalifu sana nina mpenzi mmoja tu mwaka wa 8 huu
Nikamcheki dr mmoja nguli mwenye hospital yake kupitia watsaap nikamuelezea akanambia niende matibabu yake ni elfu 75 kwa kuanzia..Nikaona ngoja nisubiri kwanza
Nilishauriwa niende duka la dawa pia lakini wakati nikiwa kwenye kuwaza nichague chaguo lipi maana kilikua kimevimbia damu, nikasoma kitabu kimoja hivi ambacho nilikua nacho cha anti bacteria and anti viral herbals ambacho nilikua nimekinunua nikawa nimekipuuza tu muda mrefu kujisomea ndo nikakuta kwamba aloevera na kitunguu swaumu kwa pamoja vinakausha vidonda na ni antiviral na antibacterial pia...
Nikatafuta aloevera maana nimepanda nyumbani, nikaikata ule utomvu wake nikaukamua nikakoroga pamoja na kitunguu swaumu kilichosagwa nikapaka then nikapafunga na bandeji ili hiyo dawa isitoke nikafanya hivyo kwa kuweka aloevera na kitunguu swaumu asubuhi na jioni
You can't believe kidonda kimekauka ndani ya siku 2 tu
Baada ya kukauka nikawa naendelea kupaka kama siku 7 hivi kimepona kabisa uvimbe umekwisha yaani ukiambiwa nilikuaga na kidonda kikubwa hapo mahali huwezi amini panavyoonekana utadhani hapajawahi kuwa na uvimbe na kidonda..
Kilianza miezi 3 iliyopita kama kipele tu sasa hivi ndo kama unavyokiona
Hakiponi kabisa nilijitahidi kukanda na maji moto na chumvi lakini wapi
Kinakaa kinavimbia utadhan usaha kumbe kinavimbia damu tu
Nakosa hata raha ya kuwaza kushiriki tendo la ndoa
Kinakua kinavimbia damu tu kila mara na inakua hivyo bila kupona nisaidieni nitumie dawa gani kikauke na kipone?Nilikua natumia hair removal kushave nywele nimeacha kwa maana ilikua ikinichubua huko mpaka sasa nahofia kufanya hivyo maana ninahofia kitachubuka zaidi
Mrejesho:Nilichelewa kuja kutoa mrejesho humu ndani kuhusu kidonda changu Lakini baada ya kutoka hapa niliuchukua ushauri nikaenda hospital ambapo kwa bahati mbaya niliambiwa Bima yangu haijawa activated hivyo nikakosa huduma..
Halaf hichi kidonda hakikuwa na association yoyote au uhusiano na history yangu ya kuugua kabisa maana kuna watu walikua wanafukua thread zangu sijawah kuugua magonjwa ya zinaa kabisa maishani mwangu na wala sio mtu wa kujiachia sana, ni muangalifu sana nina mpenzi mmoja tu mwaka wa 8 huu
Nikamcheki dr mmoja nguli mwenye hospital yake kupitia watsaap nikamuelezea akanambia niende matibabu yake ni elfu 75 kwa kuanzia..Nikaona ngoja nisubiri kwanza
Nilishauriwa niende duka la dawa pia lakini wakati nikiwa kwenye kuwaza nichague chaguo lipi maana kilikua kimevimbia damu, nikasoma kitabu kimoja hivi ambacho nilikua nacho cha anti bacteria and anti viral herbals ambacho nilikua nimekinunua nikawa nimekipuuza tu muda mrefu kujisomea ndo nikakuta kwamba aloevera na kitunguu swaumu kwa pamoja vinakausha vidonda na ni antiviral na antibacterial pia...
Nikatafuta aloevera maana nimepanda nyumbani, nikaikata ule utomvu wake nikaukamua nikakoroga pamoja na kitunguu swaumu kilichosagwa nikapaka then nikapafunga na bandeji ili hiyo dawa isitoke nikafanya hivyo kwa kuweka aloevera na kitunguu swaumu asubuhi na jioni
You can't believe kidonda kimekauka ndani ya siku 2 tu
Baada ya kukauka nikawa naendelea kupaka kama siku 7 hivi kimepona kabisa uvimbe umekwisha yaani ukiambiwa nilikuaga na kidonda kikubwa hapo mahali huwezi amini panavyoonekana utadhani hapajawahi kuwa na uvimbe na kidonda..