Mtumaini Mungu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 879
- 1,061
Pole sana.
Fika kituo cha afya cha karibu, utapata msaada.
UKISHINDWA kwenda kituo cha huduma za afya cha, fanya hivi..
Nenda Maabara iliyopo mtaani kwako.. waambie unataka kupima SYPHILIS.
Matibabu yatategemea majibu ya kipimo, sio vibaya ukapima na UTI kwa pamoja na HIV pia.
Ukipata majibu unaweza kwenda pharmacy ya karibu au unaweza KUNITUMIA JUMBE BINAFASI (JB/PM) nikakuandikia dawa.
Karibu.
Fika kituo cha afya cha karibu, utapata msaada.
UKISHINDWA kwenda kituo cha huduma za afya cha, fanya hivi..
Nenda Maabara iliyopo mtaani kwako.. waambie unataka kupima SYPHILIS.
Matibabu yatategemea majibu ya kipimo, sio vibaya ukapima na UTI kwa pamoja na HIV pia.
Ukipata majibu unaweza kwenda pharmacy ya karibu au unaweza KUNITUMIA JUMBE BINAFASI (JB/PM) nikakuandikia dawa.
Karibu.