Msaada haraka kabla sijakata moto

Msaada haraka kabla sijakata moto

Ndama dume

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2019
Posts
858
Reaction score
1,488
Nipo cafe shop hapa nimeagiza Juice natural mixer ya embe passion, Tende,Chungwa na Nanasi, sasa najiuliza sijatengeneza sumu kweli hapa.

Tafadhali wataalamu wa afya njoon huku na wale wa chemistry
 
Hiyo ni soda sio sumu, ulishawahi kunywa huu mchanganyiko sungwi,karanga,mbilimbi,pera,mua na embe ng'ong'o..? Wanamix na kapanado kidogo ili kupunguza makali!! Hata Hivyo sitarudia maana sielewi mpaka leo nilikosea wapi hadi nikadandia gari ya polisi sijui hata nilifata nini..? Ngeo inatosha kuwa kumbukumbu.
 
Hiyo ni soda sio sumu, ulishawahi kunywa huu mchanganyiko sungwi,karanga,mbilimbi,pera,mua na embe ng'ong'o..? Wanamix na kapanado kidogo ili kupunguza makali!! Hata Hivyo sitarudia maana sielewi mpaka leo nilikosea wapi hadi nikadandia gari ya polisi sijui hata nilifata nini..? Ngeo inatosha kuwa kumbukumbu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤔🤔🤔
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤔🤔🤔
Mi nafikiri wasingeweka mbilimbi Mambo yangekuwa safi kabisa! Niliona gari la polisi Kama zile mbavu za mbwa za Zanzibar! Nilipopanda nashangaa wenzangu hawakai nikauliza kwani Kuna konda wangapi humu!!! Banzi moja likanifanya nione buti zao vizuri La pili nikaanza kuona mitutu!! Nikajua nimeshayakoroga Kama mkorogo wenyewe.. ya dunia si Mambo ni maumbo.
 
Mi nafikiri wasingeweka mbilimbi Mambo yangekuwa safi kabisa! Niliona gari la polisi Kama zile mbavu za mbwa za Zanzibar! Nilipopanda nashangaa wenzangu hawakai nikauliza kwani Kuna konda wangapi humu!!! Banzi moja likanifanya nione buti zao vizuri La pili nikaanza kuona mitutu!! Nikajua nimeshayakoroga Kama mkorogo wenyewe.. ya dunia si Mambo ni maumbo.
Mkuu acha basi kunifanya naharibu hali ya hewa kwa kucheka mno
 
Nipo cafe shop hapa nimeagiza Juice natural mixer ya embe passion, Tende,Chungwa na Nanasi, sasa najiuliza sijatengeneza sumu kweli hapa.

Tafadhali wataalamu wa afya njoon huku na wale wa chemistry
Sijui kama kuna mdhara ila ngoja nikushauri kitu.

Kama unapenda juice mixer, kunywa ya Embe na passion labda na parachichi.

Tende , usimix maana tayari inakuwa na maziwa ndani.
Chungwa pia kunywa hivyo.
Nanasi nalo usimix.
 
Sijui kama kuna mdhara ila ngoja nikushauri kitu.

Kama unapenda juice mixer, kunywa ya Embe na passion labda na parachichi.

Tende , usimix maana tayari inakuwa na maziwa ndani.
Chungwa pia kunywa hivyo.
Nanasi nalo usimix.
Waoooh thanx mkuu kwa ushauri
 
Mi nafikiri wasingeweka mbilimbi Mambo yangekuwa safi kabisa! Niliona gari la polisi Kama zile mbavu za mbwa za Zanzibar! Nilipopanda nashangaa wenzangu hawakai nikauliza kwani Kuna konda wangapi humu!!! Banzi moja likanifanya nione buti zao vizuri La pili nikaanza kuona mitutu!! Nikajua nimeshayakoroga Kama mkorogo wenyewe.. ya dunia si Mambo ni maumbo.

🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu Anzisha Thread Yako Ya Story Kama Hizi Tucheke Asee... Usiahau Kunitag Nikiyekupa Wazo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu Anzisha Thread Yako Ya Story Kama Hizi Tucheke Asee... Usiahau Kunitag Nikiyekupa Wazo


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu ni hatari mtu anapiga huku anataja vitu alivyokosa maishani toka kazaliwa mpaka alipo tena anataja na vijavyo ambavyo anajua ameshaboronga anasubiri matokeo tu!
Watu wanataja mpaka na mikeka humo ndani utasikia maneno hayaeleweki mwishoni unasikia Arsenal..!! Hapo utaelewa tu..😂
 
Mkuu ni hatari mtu anapiga huku anataja vitu alivyokosa maishani toka kazaliwa mpaka alipo tena anataja na vijavyo ambavyo anajua ameshaboronga anasubiri matokeo tu!
Watu wanataja mpaka na mikeka humo ndani utasikia maneno hayaeleweki mwishoni unasikia Arsenal..!! Hapo utaelewa tu..😂
Duuuh 😁😁😁😁😁
 
Mkuu ni hatari mtu anapiga huku anataja vitu alivyokosa maishani toka kazaliwa mpaka alipo tena anataja na vijavyo ambavyo anajua ameshaboronga anasubiri matokeo tu!
Watu wanataja mpaka na mikeka humo ndani utasikia maneno hayaeleweki mwishoni unasikia Arsenal..!! Hapo utaelewa tu..😂
Hahahahaaaaaaaaa....Umenichekesha saana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom