Restless Hustler JF-Expert Member Apr 9, 2017 4,744 18,002 Nov 19, 2023 #2 Msaada maana yake ni kuomba kusaidiwa kutatua tatizo au Jambo la muhimu. Sasa tatizo liko wapi hapo?
Teknocrat JF-Expert Member Oct 20, 2018 3,816 8,471 Nov 19, 2023 Thread starter #3 Restless Hustler said: Msaada maana yake ni kuomba kusaidiwa kutatua tatizo au Jambo la muhimu. Sasa tatizo liko wapi hapo? Click to expand... Hapo ilipo hiyo ndege, ni wapi?, nchi gani? airport gani?
Restless Hustler said: Msaada maana yake ni kuomba kusaidiwa kutatua tatizo au Jambo la muhimu. Sasa tatizo liko wapi hapo? Click to expand... Hapo ilipo hiyo ndege, ni wapi?, nchi gani? airport gani?
mshamba_hachekwi JF-Expert Member Mar 3, 2023 16,797 51,966 Nov 19, 2023 #4 Picha ya zamani sana hii, hiyo nembo ya ATCL ilikua inatumika early 2000s kurudi nyuma nadhani, nimefatilia sana sijapata kitu😂
Picha ya zamani sana hii, hiyo nembo ya ATCL ilikua inatumika early 2000s kurudi nyuma nadhani, nimefatilia sana sijapata kitu😂
Nanren JF-Expert Member May 11, 2009 2,444 2,151 Nov 20, 2023 #5 Teknocrat said: View attachment 2819144 Click to expand... Ng'wanzaa
Teknocrat JF-Expert Member Oct 20, 2018 3,816 8,471 Nov 23, 2023 Thread starter #6 mshamba_hachekwi said: Picha ya zamani sana hii, hiyo nembo ya ATCL ilikua inatumika early 2000s kurudi nyuma nadhani, nimefatilia sana sijapata kitu😂 Click to expand... Swali ni ? Je tulishawahi kumiliki Boeing Jumbo 747 ?
mshamba_hachekwi said: Picha ya zamani sana hii, hiyo nembo ya ATCL ilikua inatumika early 2000s kurudi nyuma nadhani, nimefatilia sana sijapata kitu😂 Click to expand... Swali ni ? Je tulishawahi kumiliki Boeing Jumbo 747 ?
Mkereketwa_Huyu JF-Expert Member Feb 19, 2011 9,238 6,366 Nov 23, 2023 #7 Teknocrat said: View attachment 2819144 Click to expand... Mwanza