Pangah2011
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 260
- 218
cheki laptop hizi
Buy HP Elitebook 8440 Laptop -Silver (Intel Core i5 @2.5ghz,4GB,500GB) | Lowest Price | Kaymu
kuna na hii hajaandika exactly ni i5 ipi ila ina sticker ya ATI radeon ina maana ina dedicated gpu hivyo itakusaidia kwenye games na graphics
icheki hapa
Buy Dell Inspiron Core i5 - 3GB RAM/320GB HDD - 15.6" | Lowest Price | Kaymu
Elitebook 8440 nafikiri ntaimudu vizuri tu, Nashukuru kwa mwongozo ntaku check ntakapo fika hilo eneo.
Be blessed.
hizi zipo kaymu sio maduka nliokutajia juu wasiliana na muuzaji
HP probook i5
4540s uwezo wake ukoje?
mpaka ujue ni aina gani ya i5 iliotumika, bila kujua aina unaweza ukaingizwa mjini
Sasa nawezaje kujua aina ya i5 ina ina andikwa wapi?
kwenye my computer right click halafu nenda properties.
VAIO E Series i5 560m 2.6ghz
Nishauri niko na muuzaji hapa anatoa kwa 480
Achana nayo hio ni 1st gen haitakufaa unless ina dedicated gpu nzuri
Generation yake naijuaje?
Generation yake naijuaje?
Pia gpu yake naijuaje?
Pia gpu yake naijuaje?
1. Gtx
2. Gts
3.Gt
4.Gs au G
Hio ni rank ya juu ina nguvu zaidi kuliko ya chini. Gtx zinakuwa na clock kubwa, memory bandwitch kubwa, vram nyingi nk wakati gs au g ni ndogo kabisa ambazo maybe unaweza zitumia kuangalia video tu
Na geoforce ni brand name ya nvidia kama amd walivyo na radeon. Sidhani kama inamaana kiutendaji kazi
Hizo mambo mnaangaliaje unapo nunua laptop
hapana haipo sawa processor ni ndogo sana ya atom, ram ni ndogo pia sikushauri kuigharamikia hio iuze tu halafu tafuta pc nyengine. pia haina driver za graphics hio pc yako.Properties