Pangah2011
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 260
- 218
Kaka hiyo sehemu naifahamu ila naiogopa nlisha wahi ipeleka laptop yangu ili haribika display ilikuwa haionyeshi walitengeneza lakini wakanipa tatizo lingine bila mimi kujua kwa mda ule, pc ilikuwa slow balaa wakati mwingine hata kuchek movie ina stuck,