Aisee wakuu huu uzi ulikuwaga wap skuzote, hebu nsaidien kuhusu hii machine ya
Hp envy 17 leap motion
Intel core i7 4710MQ 2.5gjz 3.5ghz turbo
Ram 16 gb ddr4 upgrade, 4gb vga dedicated card, 4gb nvidia card,
17.3 inch screen optional 1080p resolution.
Sasa wakuu sijaelewa kitu, mashine yangu ya kwanza ilikataa kuplay fifa 15 ambayo nayo ni ilikuwa envy 15 core i5 2.4ghz 8gb ram, intel hd graphics. nkaamua kuuza na kununua hyo kutoka Uk.
sijaelewa hapo kweny 4gb vga dedicated na 4gb vga nvidia wanamaana gani. Nkilinganisha na maelezo yenu ndo najichanganya kabisaa
mara ya kwanza nlihis ram na processor corei5 and above ndo mpango mzima kweny game kumbe kuna issue za graphics tena.
Kitu Nachohofia nshanunua mashine kwa ghali sana af isije kataa game zingine thou fifa 15 inaplay fresh. Ina miez 2 tu