Kichaka12
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 317
- 285
Makadilio ya bei yake ikoje?Haiwezi mkuu, Gta v unaweza cheza ila God of war haitaweza. Kama unanunua Amd tafuta ryzen, hizi za zamani hazina nguvu.
Makadilio ya bei yake ikoje?Haiwezi mkuu, Gta v unaweza cheza ila God of war haitaweza. Kama unanunua Amd tafuta ryzen, hizi za zamani hazina nguvu.
ryzen mpya ni 1m+ kupandaMakadilio ya bei yake ikoje?
Mkuu si naweza pata second hand na ikanifaa tu?ryzen mpya ni 1m+ kupanda
sio nyingi kama intelMkuu si naweza pata second hand na ikanifaa tu?
Kama hutojal bro.. Naomba unipe specfication ya hiyo ya intel ambayo nitacheza game nyingi...sio nyingi kama intel
minimum i5 gen ya 8 kupanda, na iwe na dedicated gpu hata ndogo tu ya radeon ama Nvidia.Kama hutojal bro.. Naomba unipe specfication ya hiyo ya intel ambayo nitacheza game nyingi...
Mkuu hii machine vipi? Nacheza game zote?minimum i5 gen ya 8 kupanda, na iwe na dedicated gpu hata ndogo tu ya radeon ama Nvidia.
Machine nzuri mkuu na Bei ni Fair sema haifai kucheza games.Mkuu hii machine vipi? Nacheza game zote?
Shukran mkuu.Machine nzuri mkuu na Bei ni Fair sema haifai kucheza games.
1. Quadro Gpu ni za proffesional wanaotumia mambo ya Cad, kurender graphics etc. Perfomance yake nimeicheki pia ni ndogo inapitwa hadi na Gpu lowend kama Gt1030, rx 550 na gtx 750ti.
2. Cpu kali ina core 6 na thread 12 ila itaangushwa na Hio Gpu.
Kama mkuu unayo hio laki 8 ushauri wangu nunua gpu Rx 6400 ni around $160, mpaka Bongo pengine ikaku cost 450,000.
Then Tafuta desktop yoyote used, gen ya 8 unapata siku hizi laki 3 mpaka 4, pachika Gpu yako enjoy maisha.
Mkuu kama kuna chimbo unalifahamu nielekeze nitembelee..Machine nzuri mkuu na Bei ni Fair sema haifai kucheza games.
1. Quadro Gpu ni za proffesional wanaotumia mambo ya Cad, kurender graphics etc. Perfomance yake nimeicheki pia ni ndogo inapitwa hadi na Gpu lowend kama Gt1030, rx 550 na gtx 750ti.
2. Cpu kali ina core 6 na thread 12 ila itaangushwa na Hio Gpu.
Kama mkuu unayo hio laki 8 ushauri wangu nunua gpu Rx 6400 ni around $160, mpaka Bongo pengine ikaku cost 450,000.
Then Tafuta desktop yoyote used, gen ya 8 unapata siku hizi laki 3 mpaka 4, pachika Gpu yako enjoy maisha.