Gwakukahja
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 1,119
- 740
Nashukuru kwa ushaurihapana haipo sawa processor ni ndogo sana ya atom, ram ni ndogo pia sikushauri kuigharamikia hio iuze tu halafu tafuta pc nyengine. pia haina driver za graphics hio pc yako.
Nashukuru kwa ushaurihapana haipo sawa processor ni ndogo sana ya atom, ram ni ndogo pia sikushauri kuigharamikia hio iuze tu halafu tafuta pc nyengine. pia haina driver za graphics hio pc yako.
Nafikiri jf wana matatizoNashukuru kwa ushauri
Nafikiri maana baada ya kuitumia hiyo post juu yake nayo ilikuwa na picha yangu kwenye account ya mtu mwingine.duh hio picha, sina uhakika maybe ni tatizo la jf
Chief Mkwawa sorry kuvamia. Ninatumia Android kwenye tablet yangu. Unapoingia kwenye website inayotumia java inakuwa shida. Kuna njia rahisi ya kurun java kwenye android system?
wanauza sh ngapi hapo? gpu hapa tz ni kubahatisha tu ila kenya zipo kama una mtu unamfahamu anaweza kukufanyia mpangoJamani naulizia graphics card za nvidia gtx 750 ti, nipata wapi dar zaidi ya Capricorn Technologies posta?
wanauza sh ngapi hapo? gpu hapa tz ni kubahatisha tu ila kenya zipo kama una mtu unamfahamu anaweza kukufanyia mpango
nimecheki bei ghali sana, zaidi ya laki 5.Fungua website yao utaona ila ni ghali sana. google Capricorn Technologies ( www.dardirect.com)
nimecheki bei ghali sana, zaidi ya laki 5.
kwa bei hio unaenda kenya unanunua gpu unarudi na change inabaki.
Bei kali halafu kadi yenyewe unacheza game za sasa at medium settings unapata average 35fps (without recording).
inategemea na resolution na monitor/tv yako kama ni HD almost game zote utacheza kwa 60+fps na kama ni full hd ndio itavary kutegemeana na game yenyewe.
Hapana sio nzuri sana kwa serious gamer, monitor yangu ni 1440 x 900 resolution processor intel core i5 2500 @ 3.3, ni entrance level card katika games nyingi za sasa. Nikitaka kurekodi napunguza settings na resolution naweka 1366x 768. Hapo napata 21- 25fps average kwenye ETS2.
Hapana sio nzuri sana kwa serious gamer, monitor yangu ni 1440 x 900 resolution processor intel core i5 2500 @ 3.3, ni entrance level card katika games nyingi za sasa. Nikitaka kurekodi napunguza settings na resolution naweka 1366x 768. Hapo napata 21- 25fps average kwenye ETS2.
Ila nafikiria kutafuta mashine ya i7 2600 @ 3.4
trust me 750ti almost game zote kwa resolution hio utapata 60fps kupanda juu. kama huamini taja jina la game nitakuekea benchmark zake hapa.
Battlefield 4.