Msaada hapa kuhusu Laptop aina ya Nvidia

Msaada hapa kuhusu Laptop aina ya Nvidia

Kaka ukiambiwa i5 au i7 haimaanishi kwamba computer ina nguvu hadi ujue aina hio ya i5 ni ipi.

Mfano i5 first generation ipo weak sana kiasi kwamba huwezi cheza games kubwa.


Ila hio i7 4710mq ya laptop ya sasa ni processor nzuri sana, hakuna games linalohitaji cpu zaidi ya hio hivyo hapa usiwe na waswas.


Hio graphics hujaitaja ni nvidia ipi, ukiitaja nitakwambia nguvu yake. Fungua software ya nvidia utaona jina lake

Ahaa yap naona hap ni nvidia geforce 750m
 
Ni low end video card ila kwa laptop inatosha kabisa. Utacheza game lolote kwa hd.

Thanks mkuu kwa taarifa, ila game kama need for speed the rival, mortal kombat x, na GTA 5 itapush kwel hii mashine? Manake sijatest hata.
 
Thanks mkuu kwa taarifa, ila game kama need for speed the rival, mortal kombat x, na GTA 5 itapush kwel hii mashine? Manake sijatest hata.
Yani hapo game lolote baba.
 
Thanks mkuu kwa taarifa, ila game kama need for speed the rival, mortal kombat x, na GTA 5 itapush kwel hii mashine? Manake sijatest hata.

Cpu haina shida hio, game lolote itacheza, ila gpu ndio sio kubwa sana. Ila kama nilivyokuambia kwa laptop inatosha sababu ukicheza games kwa hd quality yake ni nzuri tu.
Hizi ni gpu requirements za game na passmark score zake.

Gta v
Nvidia gt 9800 - score 727
Nvidia gt 750m - score 1354
Hapa upo juu ya requirement unaweza force pia full hd.

Need for spees rival
Hili linataka gt 8800 ambayo haitofautiani sana na hio 9800 ya juu na hili nalo litarun fresh.

Mortal combat x
Radeon hd 5850- score 2267
Nvidia Gtx 460 - score 2651
Nvidia gt 750m - score 1354

Hivyo hapo mortal combat upo below minimum litakusumbua game hilo, utapata lags za hapa na pale na fps ndogo. Ila unaweza kueka resolution ndogo zaidi (kama ipo) ili kucheza smoothly
 
Cpu haina shida hio, game lolote itacheza, ila gpu ndio sio kubwa sana. Ila kama nilivyokuambia kwa laptop inatosha sababu ukicheza games kwa hd quality yake ni nzuri tu.
Hizi ni gpu requirements za game na passmark score zake.

Gta v
Nvidia gt 9800 - score 727
Nvidia gt 750m - score 1354
Hapa upo juu ya requirement unaweza force pia full hd.

Need for spees rival
Hili linataka gt 8800 ambayo haitofautiani sana na hio 9800 ya juu na hili nalo litarun fresh.

Mortal combat x
Radeon hd 5850- score 2267
Nvidia Gtx 460 - score 2651
Nvidia gt 750m - score 1354

Hivyo hapo mortal combat upo below minimum litakusumbua game hilo, utapata lags za hapa na pale na fps ndogo. Ila unaweza kueka resolution ndogo zaidi (kama ipo) ili kucheza smoothly

asee nashukuru sana kwa uchambuz makini na unaoeleweka, at least nmepata mwanga, manake pia kuna watu wanansumbua sana juu ya hizi mambo ntawakaribisha waje humu kuelimishwa.
 
Af kwa hizo score naona gtx iko vizur, nmechek ata online naona the highest rank ni nvidia gtx 980m ambapo maduka ya kibongobongo sijui kama zipo mashine zenye hiyo graphics!
 
Af kwa hizo score naona gtx iko vizur, nmechek ata online naona the highest rank ni nvidia gtx 980m ambapo maduka ya kibongobongo sijui kama zipo mashine zenye hiyo graphics!

Gpu za nvidia just angalia namba ya katikati ndio inamaanisha nguvu ya gpu na namba ya kwAnza ni version tu.

Mfano gtx 940m na gtx 780m yenye nguvu ni 780m na sio 940m.

Hivyo hio 980m ndio yenye nguvu zaidi ila hata 780, 880 na 680 au 580 nazo zinakuwa nzuri.

Kuzipata hizo laptop ni ngumu sababu hawajui utofauti wake mfanya biashara anaangalia urahisi na faida. Akipata laptop ya gt 820m anajua hii hii itafaa kila kitu sababu ya lebo ya nvidia.
 
Mkuu hii numba inayoonyesha power ni ipi
Nvidia gt 9800 - score 720
Hii umesema 5 ndio inaindicate power
Nvidia gt 750m - score 1354
Na hizi graphic za Radeon utaijuaje ipi ina power kubwa kuliko nyingine
Mfano:
Radeon hd 5850- score 2267

HIZI SCORE ZINAMAANISHA NINI?
Mfano:
Radeon hd 5850- score 2267
Nvidia Gtx 460 - score 2651
Nvidia gt 750m - score 1354
 
Gpu za nvidia just angalia namba ya katikati ndio inamaanisha nguvu ya gpu na namba ya kwAnza ni version tu.

Mfano gtx 940m na gtx 780m yenye nguvu ni 780m na sio 940m.

Hivyo hio 980m ndio yenye nguvu zaidi ila hata 780, 880 na 680 au 580 nazo zinakuwa nzuri.

Kuzipata hizo laptop ni ngumu sababu hawajui utofauti wake mfanya biashara anaangalia urahisi na faida. Akipata laptop ya gt 820m anajua hii hii itafaa kila kitu sababu ya lebo ya nvidia.
Sawasawa mkuu
 
Mkuu hii numba inayoonyesha power ni ipi
Nvidia gt 9800 - score 720
Hii umesema 5 ndio inaindicate power
Nvidia gt 750m - score 1354
Na hizi graphic za Radeon utaijuaje ipi ina power kubwa kuliko nyingine
Mfano:
Radeon hd 5850- score 2267

HIZI SCORE ZINAMAANISHA NINI?
Mfano:
Radeon hd 5850- score 2267
Nvidia Gtx 460 - score 2651
Nvidia gt 750m - score 1354

Hizo graphics zenye namba nne ni za zamani mfano gt 9800 na zenye namba tatu ndio mpya mfano 980. Kwa ulimwengu wa sasa hakikisha kama unanunua graphics za nvidia ziwe zenye namba tatu kama 750, 840, 960 nk.

Kuhusu nguvu ya graphics unaangalia namba ya katikati kwenye hizo namba tatu.

810
820
830
840
850
860
870
880

Hapo 810 ndio ndogo zaidi na 880 ndio kubwa zaidi.


Hizo score ni benchmarks tu. Zinajaribu kuonyesha jinsi gani gpu moja ina nguvu kuliko nyengine.

Kila software ina requirement ya gpu yake hivyo kama gpu yako ina score kubwa kuliko gpu inayotakikana kurun software inamaana unaweza kuirun hio software. Na kama gpu yako ni ndogo kuliko gpu inayotakikana then kaaa mbali na hio software
 
Hizo graphics zenye namba nne ni za zamani mfano gt 9800 na zenye namba tatu ndio mpya mfano 980. Kwa ulimwengu wa sasa hakikisha kama unanunua graphics za nvidia ziwe zenye namba tatu kama 750, 840, 960 nk.

Kuhusu nguvu ya graphics unaangalia namba ya katikati kwenye hizo namba tatu.

810
820
830
840
850
860
870
880

Hapo 810 ndio ndogo zaidi na 880 ndio kubwa zaidi.


Hizo score ni benchmarks tu. Zinajaribu kuonyesha jinsi gani gpu moja ina nguvu kuliko nyengine.

Kila software ina requirement ya gpu yake hivyo kama gpu yako ina score kubwa kuliko gpu inayotakikana kurun software inamaana unaweza kuirun hio software. Na kama gpu yako ni ndogo kuliko gpu inayotakikana then kaaa mbali na hio software
Ooh hapo sasa nimekuelewa
 
nashukuru sana ndugu,na kwa hapa dar naweza ipata maeneo gani,pole kwa usumbufu.

mkuu kuna envy nauza.

Hp envy 15
Ram 8gb
HDD 750GB
i7
2gb dedicated nvidia graphic card
Price 950k
 
Huu uzima umenipa mwanga mkubwa ila kwa namna nyingine umeni fanya niwe mpole maana nahisi laptop yeyote ntakayo I nunua kwa budget yangu inaweza ikawa nnje ya ubora, ila kabla cja kata tamaa bora niulize.
Laki 5 inaweza kupatikana laptop nzuri?
 
Huu uzima umenipa mwanga mkubwa ila kwa namna nyingine umeni fanya niwe mpole maana nahisi laptop yeyote ntakayo I nunua kwa budget yangu inaweza ikawa nnje ya ubora, ila kabla cja kata tamaa bora niulize.
Laki 5 inaweza kupatikana laptop nzuri?

unapata used za kutegea lakini, kwa matumizi yako hakikisha processor inaishiwa na m kwa mbele.

pia kuna jamaa anauza laptop kupatana 800,000 nimeiona ina nvidia quadro na i7 quad 2nd gen
kama utaweza mshusha na we ukapanda kidogo ni laptop nzuri.

dell m4600
 
unapata used za kutegea lakini, kwa matumizi yako hakikisha processor inaishiwa na m kwa mbele.

pia kuna jamaa anauza laptop kupatana 800,000 nimeiona ina nvidia quadro na i7 quad 2nd gen
kama utaweza mshusha na we ukapanda kidogo ni laptop nzuri.

dell m4600

Yah yaonekana kuwa na mvuto na kukidhi haja yangu ila the real problem is that I am not fit financially na kwa sababu hiyo inabidi niitegee used au zali la mentali popote litakapo tokea.

Kesho nataka nka chek mjini unaweza kunipa mwongozo?
 
Yah yaonekana kuwa na mvuto na kukidhi haja yangu ila the real problem is that I am not fit financially na kwa sababu hiyo inabidi niitegee used au zali la mentali popote litakapo tokea.

Kesho nataka nka chek mjini unaweza kunipa mwongozo?

kkoo kanisa la kkkt unapajua? maeneo ya karibu na aggrey. ukisimama mbele ya kanisa kuna jengo lina frame nyingi za cd lifate nenda kushoto mwa jengo utaona kama uchochoro hivi ndani kuna frame nyingi za laptop niliona laptop ya i3 3110m kwa 450,000 bei ya kuanzia. sio mbaya sana hio laptop kwa unavyotaka kufanyia.

pia discountkubwa mkabala na kituo cha polisi msimbazi niliwahi ona laptop za i5 na i7 za 2nd generation kama i7 2640m na i5 2540m kwa bei chini ya 500,000.

hizo za i5 na i7 second generation zina processor nZuri ila gpu yake nu hd3000 sio nzuri sana ki games.

hio i3 haina cpu kubwa sana (ila still ni cpu nzuri) lakini gpu yake ni hd 4000 hivyo kigame hio i3 ni nzuri.

ngoja nikuchekie online now nitakuja na feedback tena
 
Yah yaonekana kuwa na mvuto na kukidhi haja yangu ila the real problem is that I am not fit financially na kwa sababu hiyo inabidi niitegee used au zali la mentali popote litakapo tokea.

Kesho nataka nka chek mjini unaweza kunipa mwongozo?

cheki laptop hizi

Buy HP Elitebook 8440 Laptop -Silver (Intel Core i5 @2.5ghz,4GB,500GB) | Lowest Price | Kaymu

kuna na hii hajaandika exactly ni i5 ipi ila ina sticker ya ATI radeon ina maana ina dedicated gpu hivyo itakusaidia kwenye games na graphics
other-3009-585011-2-zoom.jpg


icheki hapa
Buy Dell Inspiron Core i5 - 3GB RAM/320GB HDD - 15.6" | Lowest Price | Kaymu
 
Back
Top Bottom