Msaada:Google Play

Frank King

JF-Expert Member
Oct 7, 2012
1,310
886
Wakuu heshima kwenu Ma-IT na Ma-Technician...Jamani kiselula changu kimegoma ku-lunch Google play..Nishajaribu njia nyingi ikiwa ku-clear cach,kui-unst na ku-inst tena..na mpangilio wa data ni 3G,binafsi naona njia mbadada ni aidha kuiflash au kuiroot...sasa naanzia wapi na namalizia wapi?aina ya simu ni Samsung G trend.Natanguliza shukrani...
 
Wakuu heshima kwenu Ma-IT na Ma-Technician...Jamani kiselula changu kimegoma ku-lunch Google play..Nishajaribu njia nyingi ikiwa ku-clear cach,kui-unst na ku-inst tena..na mpangilio wa data ni 3G,binafsi naona njia mbadada ni aidha kuiflash au kuiroot...sasa naanzia wapi na namalizia wapi?aina ya simu ni Samsung G trend.Natanguliza shukrani...

download google play services latest version kisha install then restart device.
 
Wakuu heshima kwenu Ma-IT na Ma-Technician...Jamani kiselula changu kimegoma ku-lunch Google play..Nishajaribu njia nyingi ikiwa ku-clear cach,kui-unst na ku-inst tena..na mpangilio wa data ni 3G,binafsi naona njia mbadada ni aidha kuiflash au kuiroot...sasa naanzia wapi na namalizia wapi?aina ya simu ni Samsung G trend.Natanguliza shukrani...
Njia sahihi ni "uninstall Google Play Service" iliyopo na download & install google play service nyingine ambayo ni latest. Sasa, kuwa makini kupata inayoendana na version ya simu yako kwa sababu zipo za android 4+, 5+, 6 na 2.3+, mimi nakushauri tumia Google Play Service ambayo ni kwa ajili ya android version 2.3+ hii itafanyakazi vizuri kwenye simu yako na Google play itafunguka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom