Utachoma fedha kwa biashara hiyo. Pande za Geita na Katoro ni miongoni mwa sehemu ambazo wananchi wanaamini sana Waganga wa kienyeji sasa ukija na biashara ya duka la dawa ni kweli utapata fedha lakini sio kwa kiwango unacho fikiriaVipi kuhusu biashara ya duka la madawa ya binadamu na duka la madawa ya kilimo/mifugo?