Wekeza kwenye vifaa vya simu,maana soko lake ni kubwaWakuu,
Naomba kufahamu kwa undani mji wa Katoro.
Fursa zake za kiuchumi, kilimo, ufugaji, biashara, miundombinu, makazi n.k.
Je ni sehemu salama pia?
Asanteni.
Upo hapo au ndo unataka kwendaMkuu nijuze zaidi. Nataka kupanua wigo wa biashara.
Nenda Katoro kumekucha sana....tafuta mwenyeji wekeza hata kwenye madini kama una mtaji.Ndo ninataka kwenda, kati ya maeneo ya misungwi, buseresere, katoro, au mpanda ,
Katoro imenivutia zaidi.
Enheee, mkuu naomba usitoke, tujuzane.Nenda Katoro kumekucha sana....tafuta mwenyeji wekeza hata kwenye madini kama una mtaji.
Makazi yapo vzr xn vyumba vya kupanga gharama nafuu xn!! Lkn tahadhari ya magonjwa ndo inatakiwa uwe nayo coz muingiliano wa watu n wengi!!!Mkuu asante.
Vipi kuhusu makazi, yani vyumba vya kulala nk
Sawa mkuu, labda bei za vyumba zinaanzaje,Makazi yapo vzr xn vyumba vya kupanga gharama nafuu xn!! Lkn tahadhari ya magonjwa ndo inatakiwa uwe nayo coz muingiliano wa watu n wengi!!!
Hapan siyo y viuno I mean ngono nje nje naukiwa n bishara half haupo makini wengi wanaumia! Kwa hlo kingne nikuwa biashara katoro niyaushindani xn hawaangalii faida xn !Sawa mkuu, labda bei za vyumba zinaanzaje,
Vipi magonjwa unazungumzia Yale ya viunoo...
Au ebola, tb nk
Vyumba 20000/= unapata kina Umeme vyakula bei chin kbsaSawa mkuu, labda bei za vyumba zinaanzaje,
Vipi magonjwa unazungumzia Yale ya viunoo...
Au ebola, tb nk
Biashara ya pombe cjajua vzr coz situmii lkn mwingiliano wa watu n mwingVipi na biashara za pombe, madawa, nguo na viatu