Msaada: Fursa za kiuchumi Katoro Geita

goodfool

JF-Expert Member
Oct 11, 2016
1,664
993
Wakuu,

Naomba kufahamu kwa undani mji wa Katoro.

Fursa zake za kiuchumi, kilimo, ufugaji, biashara, miundombinu, makazi n.k.

Je ni sehemu salama pia?

Asanteni.
 
Nenda Katoro kumekucha sana....tafuta mwenyeji wekeza hata kwenye madini kama una mtaji.
Enheee, mkuu naomba usitoke, tujuzane.

Tuanze na madini, vp changamoto zake, janja janja na utapeli vp

Siijui hio biashara, inahitaj uzoefu mkubwa?

Je, vp mtaj mdogo waweza anzia sh ngap

Vp faida yake inapatkana vp,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom