Naombeni fursa za biashara mikoani

XII Tz

JF-Expert Member
Aug 16, 2020
4,293
6,957
Habari wakuu

Naomba fursa za kibiashara mikoani kwa mwenye kufahamu biashara gani inalipa kwa kusafirisha kutoka dar es salaam. Natanguliza shukrani

Nguvu moja
 
Nunua fuso tipa nenda mkoa wowote ktk wilaya zake zinazojengeka Anza kubeba mchanga wa kufyatulia tofal au vifus vyakujaza kwenye foundation ya nyumba,kubeba kokoto na tripu moja ni tsh 70000=
 
Wewe uliogopa kuleta?
Hapana sikuogopa kuleta, sijapata mtu nikafanya nae biashara, naona kama nikipata mtu mfano Mwanza nasikia wanashida sana na viatu vya shule vya ngozi. Sasa natamani nipate mtu tukaaminiana tufanye biashara. Nakumbuka kabla ya corona nilikuwa naweza kusafirisha nguo za kiafrika Ulaya Ila toka corona ilipoingia hadi leo hakuna tena biashara. Nakumbuka enzi hizo unakwenda mala 3 kwa mwezi kutuma mzigo Ila sasa hivi hata mkoani tu ni shida. Na pia uaminifu imekuwa shida.
 
Hapana sikuogopa kuleta, sijapata mtu nikafanya nae biashara, naona kama nikipata mtu mfano Mwanza nasikia wanashida sana na viatu vya shule vya ngozi. Sasa natamani nipate mtu tukaaminiana tufanye biashara. Nakumbuka kabla ya corona nilikuwa naweza kusafirisha nguo za kiafrika Ulaya Ila toka corona ilipoingia hadi leo hakuna tena biashara. Nakumbuka enzi hizo unakwenda mala 3 kwa mwezi kutuma mzigo Ila sasa hivi hata mkoani tu ni shida. Na pia uaminifu imekuwa shida.
Hapo sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom