Pedrz
Member
- Apr 2, 2021
- 75
- 104
Mimi sio mwenyeji sana katika mji huu ila natamani sana kuanza biashara ya Nguo za watoto Katoro sema sina connection ya frame na bado sijajua fursa zilizopo Katoro
Kwahiyo nawakaribisha wanajamii kwa mawazo. Nikijua nitapata ushauri mzuri wa sehemu hiyo na bei za frame, ikiwezekana na connection.
#TupigekaziMunguatabariki,
Kwahiyo nawakaribisha wanajamii kwa mawazo. Nikijua nitapata ushauri mzuri wa sehemu hiyo na bei za frame, ikiwezekana na connection.
#TupigekaziMunguatabariki,