Wadau,
Msaada wenu tafadhali mimi simalizi dakika moja bila ya kuejaculate, hata nikirudia zaidi ya mara moja, bado nitatoa mapema, hii hupelekea wale ninao kutana nao kutoridhika na tendo la ndoa, nini cha kufanya, je kuna dawa yoyote inayoweza nisaidia angalau nimalize hata dakika mbili tu, au nini nifanye ili nijinusuru na hii hali. Nahitaji serious contributors kwa hili, matusi na utani, kejeli sihitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada wenu tafadhali mimi simalizi dakika moja bila ya kuejaculate, hata nikirudia zaidi ya mara moja, bado nitatoa mapema, hii hupelekea wale ninao kutana nao kutoridhika na tendo la ndoa, nini cha kufanya, je kuna dawa yoyote inayoweza nisaidia angalau nimalize hata dakika mbili tu, au nini nifanye ili nijinusuru na hii hali. Nahitaji serious contributors kwa hili, matusi na utani, kejeli sihitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app