Msaada: Domain ya website yangu inauzwa, nifanyeje

Miaka ya Nyuma ilikuwa Ukiacha kurenew domain yako na muda wa ku renew ukipita wanaichukua na kuiuza. Haswa kama domain yako ilikuwa inapokea Traffik kubwa, Ila sasa naona wamekuja na sheria mpya kama haujailipia na muda wa kuirenew umepita wanaiweka mnadani na isipopata mnunuzi wanaifuta. Hapo unakuwa na uwezo wa kuisajili upya. Balaa ni ikipata mnunuzi imekula kwako.
 
Miaka ya Nyuma ilikuwa Ukiacha kurenew domain yako na muda wa ku renew ukipita wanaichukua na kuiuza. Haswa kama domain yako ilikuwa inapokea Traffik kubwa, Ila sasa naona wamekuja na sheria mpya kama haujailipia na muda wa kuirenew umepita wanaiweka mnadani na isipopata mnunuzi wanaifuta. Hapo unakuwa na uwezo wa kuisajili upya. Balaa ni ikipata mnunuzi imekula kwako.
Haya ni makampuni yasiyo na ethics mkuu, namecheap usipolipia domain yako wanaitema, ukitaka kuirenew kama hajaichukua mtu unaipata.
 
Bora wewe uliitelekeza, mimi Busati.com wale Godaddy walinipiga Fine kubwa na sasa wanaiuza milioni 30..

Kifupi makampuni mengi ya domain ni matapeli matapeli, ukijichanganya kidogo wanakupokonya domain.

Natumia name cheap sasa hivi, so far so good.
Hapana sio matapeli, ukidrop domain name nzuri huwa wanaing'angania maana inakuwa tayari imenenepa na ina thamani. Kuna watu kazi yao ni kutafuta domain names zilizoachwa kisha wanazipa promo na kuziuza. Ni biashara inayojitegemea kabisa
 
haya ni makampuni yasiyo na ethics mkuu, namecheap usipolipia domain yako wanaitema, ukitaka kuirenew kama hajaichukua mtu unaipata,
Ethics? Ndugu yangu issue ni demand and supply. Kama domain yako ni bomba hata kama umesajili kwangu naizuia kisha ukirudi na kulima faini ya maana.
 
“Vigezo na masharti kuzingatiwa”

Ulisoma vizuri na kuzielewa terms and conditions?

Umekiuka mkataba kwa kutokulipia hivyo basi wewe sio mmiliki tena wa hiyo domain
Pole
 
Ethics?Ndugu yangu issue ni demand and supply.Kama domain yako ni bomba hata kama umesajili kwangu naizuia kisha ukirudi na kulima faini ya maana.
Kwanini uizuie? Hapo ndio tatizo linaanza, hujakutwa na hii issue inauma vibaya sana.

Kazi ya domain registre ni kutimiza mkataba wenu kama ni mwaka ni mwaka, kama umemchoka unaweza register domain kwengine, uamuzi ni wako, ila wao kuzuia domain hata kwengine usiweze kufanya registration na kudai hela nyingi ni uhuni na utapeli wa waziwazi.

Uzuri ni kwamba sio wao tu wapo duniani, kuna website kibao, even Google siku hizi wana register domain hakuna Longolongo za kijinga.
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Hapana sio matapeli,ukidrop domain name nzuri huwa wanaing'angania maana inkuwa tayari imenenepa na inathamani.Kuna watu kazi yao ni kutafuta domain names zilizoachwa kisha wanazipa promo na kuziuza.Ni biashara inayojitegemea kabisa
Tofautisha kudrop jina na mwengine kusajili, na kampuni kuzuia jina lako na kukupiga fine.

Peleka mfano kwenye real life. Assume umepanga sehemu, mkataba umeisha
-mwenye Nyumba A atoe vitu vyako nje
-mwenye Nyumba B aviache ndani kisha a kudai kodi mara 100 ya thamani ya Chumba.

Godaddy sasa wanafanya hivyo kama mwenye nyumba B unapigwa fine kubwa kisha wanakutisha kuiuza domain. Na wanauza kweli.
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Kwanini uizuie? Hapo ndio tatizo linaanza, hujakutwa na hii issue inauma vibaya sana.

Kazi ya domain registre ni kutimiza mkataba wenu kama ni mwaka ni mwaka, kama umemchoka unaweza register domain kwengine, uamuzi ni wako, ila wao kuzuia domain hata kwengine usiweze kufanya registration na kudai hela nyingi ni uhuni na utapeli wa waziwazi.

Uzuri ni kwamba sio wao tu wapo duniani, kuna website kibao, even Google siku hizi wana register domain hakuna Longolongo za kijinga.
Mkuu, domain inalipiwa, ICAN ndo main controllers, wengine ni madalali kama sisi. Domain inapokuwa nzuri halafu wewe hujaona thamani yake ukaiacha ik expire sis tunalipia ICAN fees kisha tunaiuza kwa bei kubwa kwa sababu tunajua thamani ya domain.

Ni business common sense tu. Domain ni yako kwa mwaka mmoja baada ya hapo kama usipolipia yeyote anaweza kuinunua na hasa ambaye anadata za thamani ya domain name yako
 
Tofautisha kudrop jina na mwengine kusajili, na kampuni kuzuia jina lako na kukupiga fine.

Peleka mfano kwenye real life. Assume umepanga sehemu, mkataba umeisha
-mwenye Nyumba A atoe vitu vyako nje
-mwenye Nyumba B aviache ndani kisha a kudai kodi mara 100 ya thamani ya Chumba.

Godaddy sasa wanafanya hivyo kama mwenye nyumba B unapigwa fine kubwa kisha wanakutisha kuiuza domain. Na wanauza kweli.
Huyu bwana alidrop jina, hakulilipia baada ya kuexpire. Hakuna registrar anayekunyanganya domain ambayo unalipia kila mwaka. Unaweza kumshtaki na akafungiwa kusajili.
 
Huyu bwana alidrop jina,hakulilipia baada ya kuexpire.Hakuna registrar anayekunyanganya domain ambayo unalipia kila mwaka.Unaweza kumshtaki na akafungiwa kusajili.
Sijamzungumzia huyo, nimezungumzia situation yangu huko juu. Na godaddy wanafanya hiyo michezo, nenda reliable forum yoyote ya web hosting katoe Ushauri watu watumie Godaddy uone Negative reviews zitakavyoanza.

Wikipedia ipo dedicated page ya controversies zao tu

 
  • Thanks
Reactions: _ID
Sijamzungumzia huyo, nimezungumzia situation yangu huko juu. Na godaddy wanafanya hiyo michezo, nenda reliable forum yoyote ya web hosting katoe Ushauri watu watumie Godaddy uone Negative reviews zitakavyoanza.

Wikipedia ipo dedicated page ya controversies zao tu

Hapa nimekuelewa. Binafsi huwa siwatumii GODADDY kwenye service yoyote ile.
 
Back
Top Bottom