domain

  1. M

    Je, ni zipi sababu za kupanda kwa bei ya .Com domain kwa Tanzania?

    Hivi karibuni nilitaka kufungua website kwaajili ya kufanya project yangu fulani. hivyo niliamua kununua domain na hosting kwaajili ya project yangu. Nikaanza kufanya research juu ya kampuni ambayo ningeweza kuitumia kwaajili ya kuhost website yangu.lakini nikajikuta nakwama kutokana na gharama...
  2. P

    Msaada kubadiki castom domain name ya bloger

    Msaada kubadiki castom domain name ya bloger nimehost free site katika infinity free hosting. Nikiplace inanigomea msaada
  3. Simeone

    Domain kwa AFUTATU goddady ni uongo bwana!

    Wale wrote mliopata domain name kwa TSH.3000 naomba maelekezo, Balenciaga Jr ulipataje hiyo domain kwa afutatu/NNE
  4. talentbrain

    Domain Name and Hosting

    Habari wadau. Nina miliki website tatu kwa sasa na ninafikiri kuongeza moja hivi karibuni. Kila aliyenitengenezea website aliweka package ya domain name na hosting kwa mwaka mmoja bure. Baada ya mwaka nikaanza kulipia domain name na hosting ambayo kwa website 3 si haba. Nimefikiria kununua...
  5. D

    Premium blogger template yenye custom domain vs WordPress

    wakuu poleni n majukumu. wataalaamu kama kawaida tusaidiane hapa wenye uzoefu, hivi ni bora ukatumia premium template ya blogger then ukatumia na custom domain au uhamie tu moja kwa moja wordpress which is better?
  6. Wambie Wasikie

    Msaada: Usajili wa domain (Tanzania)

    Habari wanaJamiiForums Nina mpango wa kusajili website yangu itakayohusu masuala ya kitaaluma, na nilitamani iwe na kikoa cha DOT ACADEMY (.academy) ukizingatia kwamba kwa . TZ sijaona domain yenye mantiki ya kielimu mbali na kuwa taasisi. Wasiwasi wangu upo kisheria, na hapa ndipo ulipo...
  7. Binadamu Mtakatifu

    Miliki blogu kwa bei cheeeeeeee with domain name .com

    Habari nipo hapa kuwajuza wote watakao penda kumiliki blogu nipo kufanya kazi hiyo Ofa kwa mwana jamiiforums wote Bei 10,000 bila domain Na 15,000 kwa blogu ambayo inakuja na domain name ya .com Mfano wa blogu nilionayo ni hii www.issazilla.com Karibu PM or email: heavyboy255@gmail.com
  8. Samedi Amba

    .TZ Domain name hatimaye

    Habari wanajamvi, Hapo nyuma, niliuliza swali. Hili hapa: Leo asubuhi nilipata email kutoka Dudumizi, kuwa reservation zimeanza. Nilipiga simu DuHosting, wakaelezea yafuatayo: Sasa hivi wanafanya reservation, kama ulisharegister jina lolote lenye format ya .xx.tz (iwe .co.tz, .ac.tz etc)...
  9. tzhosts

    Understanding the Domain name System (DNS) and Domain names

    Je unajua kwamba domain name ni mtaji? Unapoona jina kama jamiiforums.com hii ni domain name unapoona jina kama tzhosts.com hii ni domain name.Leo nataka tuzungumzie kidogo maana na umuhimu wa domain na jinsi ambavyo unaweza kuitumia ili kujiongezea pesa. Ngoja niwape mfano.Leo hii unaweza...
  10. Samedi Amba

    Hivi .tz TLD domain ishawekwa wazi kwa ajjili ya watanzania wa kawaida kama mimi?

    Habari wanajamvi. Leo nilikutana na Karibu.TZ | .TZ Domain names registration portal (nafahamu ndo website ya TCRA?) Hivi .tz TLD ishawekwa wazi kwa ajjili ya watanzania wa kawaida kama mimi? Anayefahamu atujuze tafadhali.
  11. tutafikatu

    Maajabu: Kusajili Domain yako kupitia UCC ya UDSM unapaswa ujaze fomu kwenye word document

    Kuna mambo fulani ukiyafikiria unaishia kuhuzunika tu. Ukienda University Computing Center ya University of Dar es Salaam, kama unataka usajili Domain Name kupitia UCC, unapaswa kujaza form iliyoko kwenye word format, kisha uwatumie. Ati hizi ndio taasisi za serikali zinazopaswa kutuondoa...
  12. Binadamu Mtakatifu

    Wapi nitapata domain name kwa $3

    Wapi nitapata domain name kwa bei cheap ya $3 kwa mwaka ninunue? Nitaka niunganishe blogger
  13. Kelela

    Vipi hatma ya wito wa kutumia kikoa cha .com Tanzania?

    Mwaka jana (2020) mwezi wa kwanza TCRA ilitoa wito ya watu wote kutumia .co.tz na ukitumia .com ni kosa ambalo unaweza kulipishwa faili au kifungo. Swali langu ni je, mpaka sasa sheria hiyo ipo? na kama bado ipo kwa nini baadhi ya watu wanaendelea kutumia .com? naomba ufafanuzi kwa wanaofahamu...
  14. Deejay nasmile

    Msaada: Domain ya website yangu inauzwa, nifanyeje

    Wakuu mwaka 2011-2013 nilikuwa na blog website kubwa sana,ambayo ilipata watembeleaji wengi sana kila siku Ilikuwa inahusu marafiki/wachumba Muziki,habari,udaku na vichekesho.. Kiukweli hata kwenye search ingine ikikuwa katika top results Sasa nikanunua domain.name kupitia maddogs domain kwa...
  15. S

    Msaada: Ni wapi naweza nunua domain?

    Habari wakuu, Naomba kujua ni wapi naweza nunua domain ya website na nikaimiliki mwenyewe. Naitaji iwe ya .co.tz Mfano www.dawati.co.tz Nataka ninunue moja kwa moja bila kupitia kwa developer kwa sababu nilishawai kuwa na website/blog lakini mwisho wa siku sikuweza kuwa na access ya moja kwa...
  16. Manza Bay

    Tunatengeneza Website kwa Bei ndogo Kabisa

    Ingia kwenye website kwa Maelezo zaidi >>> www.manzabay.com
Back
Top Bottom