Hivi karibuni nilitaka kufungua website kwaajili ya kufanya project yangu fulani. hivyo niliamua kununua domain na hosting kwaajili ya project yangu.
Nikaanza kufanya research juu ya kampuni ambayo ningeweza kuitumia kwaajili ya kuhost website yangu.lakini nikajikuta nakwama kutokana na gharama...
Habari wadau.
Nina miliki website tatu kwa sasa na ninafikiri kuongeza moja hivi karibuni. Kila aliyenitengenezea website aliweka package ya domain name na hosting kwa mwaka mmoja bure. Baada ya mwaka nikaanza kulipia domain name na hosting ambayo kwa website 3 si haba.
Nimefikiria kununua...
wakuu poleni n majukumu.
wataalaamu kama kawaida tusaidiane hapa wenye uzoefu, hivi ni bora ukatumia premium template ya blogger then ukatumia na custom domain au uhamie tu moja kwa moja wordpress which is better?
Habari wanaJamiiForums
Nina mpango wa kusajili website yangu itakayohusu masuala ya kitaaluma, na nilitamani iwe na kikoa cha DOT ACADEMY (.academy) ukizingatia kwamba kwa . TZ sijaona domain yenye mantiki ya kielimu mbali na kuwa taasisi.
Wasiwasi wangu upo kisheria, na hapa ndipo ulipo...
Habari nipo hapa kuwajuza wote watakao penda kumiliki blogu nipo kufanya kazi hiyo
Ofa kwa mwana jamiiforums wote
Bei 10,000 bila domain
Na 15,000 kwa blogu ambayo inakuja na domain name ya .com
Mfano wa blogu nilionayo ni hii
www.issazilla.com
Karibu PM or email: heavyboy255@gmail.com
Habari wanajamvi,
Hapo nyuma, niliuliza swali. Hili hapa:
Leo asubuhi nilipata email kutoka Dudumizi, kuwa reservation zimeanza. Nilipiga simu DuHosting, wakaelezea yafuatayo:
Sasa hivi wanafanya reservation, kama ulisharegister jina lolote lenye format ya .xx.tz (iwe .co.tz, .ac.tz etc)...
Je unajua kwamba domain name ni mtaji?
Unapoona jina kama jamiiforums.com hii ni domain name unapoona jina kama tzhosts.com hii ni domain name.Leo nataka tuzungumzie kidogo maana na umuhimu wa domain na jinsi ambavyo unaweza kuitumia ili kujiongezea pesa.
Ngoja niwape mfano.Leo hii unaweza...
Habari wanajamvi. Leo nilikutana na Karibu.TZ | .TZ Domain names registration portal (nafahamu ndo website ya TCRA?)
Hivi .tz TLD ishawekwa wazi kwa ajjili ya watanzania wa kawaida kama mimi?
Anayefahamu atujuze tafadhali.
Kuna mambo fulani ukiyafikiria unaishia kuhuzunika tu. Ukienda University Computing Center ya University of Dar es Salaam, kama unataka usajili Domain Name kupitia UCC, unapaswa kujaza form iliyoko kwenye word format, kisha uwatumie.
Ati hizi ndio taasisi za serikali zinazopaswa kutuondoa...
Mwaka jana (2020) mwezi wa kwanza TCRA ilitoa wito ya watu wote kutumia .co.tz na ukitumia .com ni kosa ambalo unaweza kulipishwa faili au kifungo.
Swali langu ni je, mpaka sasa sheria hiyo ipo? na kama bado ipo kwa nini baadhi ya watu wanaendelea kutumia .com? naomba ufafanuzi kwa wanaofahamu...
Wakuu mwaka 2011-2013 nilikuwa na blog website kubwa sana,ambayo ilipata watembeleaji wengi sana kila siku
Ilikuwa inahusu marafiki/wachumba
Muziki,habari,udaku na vichekesho..
Kiukweli hata kwenye search ingine ikikuwa katika top results
Sasa nikanunua domain.name kupitia maddogs domain kwa...
Habari wakuu,
Naomba kujua ni wapi naweza nunua domain ya website na nikaimiliki mwenyewe.
Naitaji iwe ya .co.tz
Mfano www.dawati.co.tz
Nataka ninunue moja kwa moja bila kupitia kwa developer kwa sababu nilishawai kuwa na website/blog lakini mwisho wa siku sikuweza kuwa na access ya moja kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.