Msaada wa kupata domain iliyopotea

Kala255

Member
Mar 13, 2018
18
13
Habari wakuu...Mimi nimekua blogger Kwa miaka minne sasa.

Hapo awali blog yangu ilikua inaitwa sirizaafyabora.blogspot.com baadae nikanunua domain ikawa sirizaafyabora.com

Sasa Mimi sio mtaalamu Sana WA hizi kazi so kwanzia kufungua blog mpk domain nilifanyiwa na watu.

Tatizo ni kwamba aliyeniwekea domain hakunipa utaratibu wa malipo hivyo Muda uliisha nikashangaa blog yangu haiko hewani tena.

Nilipofuatilia nikakuta domain name yangu iko sokoni inauzwa kama Dola 700 hivi.
Kiukweli Ile kitu iliniathiri Sana kwani viewers waliporomoka Sana na kufanya mapato yangu kidogo niliyokua nayo yarudi sifuri.

Sasa hivi Naona domain yangu inauzwa na kiukweli Kwa sasa siwezi kuingia gharama hizo.je nifanyaje kurudisha Kwa gharama kidogo bila kuinunua upya?

Sasa hivi natumia jina la zamani la blogspot lakini viewers wachache Sana.
 
Habari wakuu...Mimi nimekua blogger Kwa miaka minne sasa.

Hapo awali blog yangu ilikua inaitwa sirizaafyabora.blogspot.com baadae nikanunua domain ikawa sirizaafyabora.com

Sasa Mimi sio mtaalamu Sana WA hizi kazi so kwanzia kufungua blog mpk domain nilifanyiwa na watu.

Tatizo ni kwamba aliyeniwekea domain hakunipa utaratibu wa malipo hivyo Muda uliisha nikashangaa blog yangu haiko hewani tena.

Nilipofuatilia nikakuta domain name yangu iko sokoni inauzwa kama Dola 700 hivi.
Kiukweli Ile kitu iliniathiri Sana kwani viewers waliporomoka Sana na kufanya mapato yangu kidogo niliyokua nayo yarudi sifuri.

Sasa hivi Naona domain yangu inauzwa na kiukweli Kwa sasa siwezi kuingia gharama hizo.je nifanyaje kurudisha Kwa gharama kidogo bila kuinunua upya?

Sasa hivi natumia jina la zamani la blogspot lakini viewers wachache Sana.
kuna asilimia kubwa aliyekuwekea domain ndio kakufanyia uhuni, kwahiyo hapo kaona unatraffic nzuri ndio akakuibia domain na kukurudishia ni ngumu maana naona anaitumia kupiga pesa kupitia ads labda ikiexpire tar 25/1/2019 uninunue upya kabla jamaa hajairenew japo sio kitu rahisi maana atapata notification.
au kama vipi ipige chini utafute nyingine kama sirizaafyabora.co.tz ,sirizaafyabora.net, sirizaafyabora.net, sirizaafyabora.health, .info., or.tz , .biz n.k
na next time hivi vitu bora ufanye na mtu mwaminifu au wewe mwenyewe hata kwa kuangalia tutorials mbalimbali youtube “how to buy and set a custom domain in blogger ” n.k
 
kuna asilimia kubwa aliyekuwekea domain ndio kakufanyia uhuni, kwahiyo hapo kaona unatraffic nzuri ndio akakuibia domain na kukurudishia ni ngumu maana naona anaitumia kupiga pesa kupitia ads labda ikiexpire tar 25/1/2019 uninunue upya kabla jamaa hajairenew japo sio kitu rahisi maana atapata notification.
au kama vipi ipige chini utafute nyingine kama sirizaafyabora.co.tz ,sirizaafyabora.net, sirizaafyabora.net, sirizaafyabora.health, .info., or.tz , .biz n.k
na next time hivi vitu bora ufanye na mtu mwaminifu au wewe mwenyewe hata kwa kuangalia tutorials mbalimbali youtube “how to buy and set a custom domain in blogger ” n.k
Unafanya hizo kazi ili tuweze kufanya biashara
 
kuna asilimia kubwa aliyekuwekea domain ndio kakufanyia uhuni, kwahiyo hapo kaona unatraffic nzuri ndio akakuibia domain na kukurudishia ni ngumu maana naona anaitumia kupiga pesa kupitia ads labda ikiexpire tar 25/1/2019 uninunue upya kabla jamaa hajairenew japo sio kitu rahisi maana atapata notification.
au kama vipi ipige chini utafute nyingine kama sirizaafyabora.co.tz ,sirizaafyabora.net, sirizaafyabora.net, sirizaafyabora.health, .info., or.tz , .biz n.k
na next time hivi vitu bora ufanye na mtu mwaminifu au wewe mwenyewe hata kwa kuangalia tutorials mbalimbali youtube “how to buy and set a custom domain in blogger ” n.k
Asante mkuu nimekuelewa...hivi kuna madhara gani usipotumia domain? bcoz kuna blog kubwa hapa bongo kama wakina michuzi Naona hazina domain kabisa.
 
Asante mkuu nimekuelewa...hivi kuna madhara gani usipotumia domain? bcoz kuna blog kubwa hapa bongo kama wakina michuzi Naona hazina domain kabisa.
Utapata tabu kwenye search results rankings hasa keyword zikiwa ni competitives.

Mara nyingi blogs zenye blogspot zinakuwa outranked kirahisi kutokana na domain authority kuwa ndogo.
 
Back
Top Bottom