Msaada dawa ya kutokuwa na wivu tafadhali

Msaada dawa ya kutokuwa na wivu tafadhali

Bandu Ncheche

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2016
Posts
512
Reaction score
326
Naachwa tu naachwa tu kwasababu nina wivu uliovuka mipaka,nikishakuwa na mpenzi kwa bahati mbaya au nzuri akaanza kunisimulia mahusiano yake ya nyuma au nikamjua X wake basi najikuta nakosa raha kwasababu ya wivu.

Hapo hapo mapenzi yanaanza kuporoka hatimaye kuachana kabisa,nina idadi kubwa sana ya niliochana kwasababu ya wivu wa kijinga ndio maana nikaona nije kwenu ili mnipe tiba, nifanyaje kuondokana hii hali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naachwa tu naachwa tu kwasababu nina wivu uliovuka mipaka,nikishakuwa na mpenzi kwa bahati mbaya au nzuri akaanza kunisimulia mahusiano yake ya nyuma au nikamjua X wake basi najikuta nakosa raha kwasababu ya wivu.
Hapo hapo mapenzi yanaanza kuporoka hatimaye kuachana kabisa,nina idadi kubwa sana ya niliochana kwasababu ya wivu wa kijinga ndio maana nikaona nije kwenu ili mnipe tiba, nifanyaje kuondokana hii hali?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo pesa ukiwa nazo hutohitaji kujua demu wako alikuwa na mabwana wangapi, hafu wanawake wa sikuhizi hata hawafichi akiulizwa anafunguka tu, na vijana nao msipende kuuliza yaliyopita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naachwa tu naachwa tu kwasababu nina wivu uliovuka mipaka,nikishakuwa na mpenzi kwa bahati mbaya au nzuri akaanza kunisimulia mahusiano yake ya nyuma au nikamjua X wake basi najikuta nakosa raha kwasababu ya wivu.

Hapo hapo mapenzi yanaanza kuporoka hatimaye kuachana kabisa,nina idadi kubwa sana ya niliochana kwasababu ya wivu wa kijinga ndio maana nikaona nije kwenu ili mnipe tiba, nifanyaje kuondokana hii hali?

Sent using Jamii Forums mobile app
Shika jembe ukalime acha kupoteza muda kwenye mambo ya kipuuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naachwa tu naachwa tu kwasababu nina wivu uliovuka mipaka,nikishakuwa na mpenzi kwa bahati mbaya au nzuri akaanza kunisimulia mahusiano yake ya nyuma au nikamjua X wake basi najikuta nakosa raha kwasababu ya wivu.

Hapo hapo mapenzi yanaanza kuporoka hatimaye kuachana kabisa,nina idadi kubwa sana ya niliochana kwasababu ya wivu wa kijinga ndio maana nikaona nije kwenu ili mnipe tiba, nifanyaje kuondokana hii hali?

Sent using Jamii Forums mobile app
Anzisha uhusiano na wanawake watano kwa wakati mmoja. Ukiweza kuwamudu kwa muda wa miezi sita bila kumpoteza hata mmoja basi hisia ya wivu itakufa kabisa kwako..
 
Back
Top Bottom