Msaada dawa ya kutokuwa na wivu tafadhali

Msaada dawa ya kutokuwa na wivu tafadhali

Naachwa tu naachwa tu kwasababu nina wivu uliovuka mipaka,nikishakuwa na mpenzi kwa bahati mbaya au nzuri akaanza kunisimulia mahusiano yake ya nyuma au nikamjua X wake basi najikuta nakosa raha kwasababu ya wivu.

Hapo hapo mapenzi yanaanza kuporoka hatimaye kuachana kabisa,nina idadi kubwa sana ya niliochana kwasababu ya wivu wa kijinga ndio maana nikaona nije kwenu ili mnipe tiba, nifanyaje kuondokana hii hali?

Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa ni kujiamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naachwa tu naachwa tu kwasababu nina wivu uliovuka mipaka,nikishakuwa na mpenzi kwa bahati mbaya au nzuri akaanza kunisimulia mahusiano yake ya nyuma au nikamjua X wake basi najikuta nakosa raha kwasababu ya wivu.

Hapo hapo mapenzi yanaanza kuporoka hatimaye kuachana kabisa,nina idadi kubwa sana ya niliochana kwasababu ya wivu wa kijinga ndio maana nikaona nije kwenu ili mnipe tiba, nifanyaje kuondokana hii hali?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa malaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naachwa tu naachwa tu kwasababu nina wivu uliovuka mipaka,nikishakuwa na mpenzi kwa bahati mbaya au nzuri akaanza kunisimulia mahusiano yake ya nyuma au nikamjua X wake basi najikuta nakosa raha kwasababu ya wivu.

Hapo hapo mapenzi yanaanza kuporoka hatimaye kuachana kabisa,nina idadi kubwa sana ya niliochana kwasababu ya wivu wa kijinga ndio maana nikaona nije kwenu ili mnipe tiba, nifanyaje kuondokana hii hali?

Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza asanteh kwa kujua kuwa una wivu wa kijinga, piah pole kwa kuachwa achwa, kumbuka kinachosabasha wivu usio na maana ni kuwa limbukeni wa jambo flan(mf; mtu anaweza kuwa na wivu hata ktk gari lake lisiendeshwe na mtu mwingine, hii hotokea wakati likiwa bado jipya) kujiepusha na hii hali kwanza kila kitu kinachotokea ktk mahusiano yako kichulie usually ili kisikuendeshe.. wivu ni mbaya na mtu yeyoye alie na wivu hajawahi kudum ktk uhusiano wowote never..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanza asanteh kwa kujua kuwa una wivu wa kijinga, piah pole kwa kuachwa achwa, kumbuka kinachosabasha wivu usio na maana ni kuwa limbukeni wa jambo flan(mf; mtu anaweza kuwa na wivu hata ktk gari lake lisiendeshwe na mtu mwingine, hii hotokea wakati likiwa bado jipya) kujiepusha na hii hali kwanza kila kitu kinachotokea ktk mahusiano yako kichulie usually ili kisikuendeshe.. wivu ni mbaya na mtu yeyoye alie na wivu hajawahi kudum ktk uhusiano wowote never..

Sent using Jamii Forums mobile app
Comment yako inatosha wengine wote walikuwa wanapiga soga tu.
Huwezi kuitwa Bulaya halafu ukakosa akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom