Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 666
- 983
Nijuavyo mm kuna walie tandu wakubwa weusi wanakuaga sana maporini na hata nge wapo wale wakubwa weusi pia nao wanakua kwenye mapori hao ndio balaa sana ila hao wa majumbani ni wakawaida wanaweza wakakuuma na usipate shida au ukapata shida kulingana na mwili wako..ila ushauri wangu jiulize kwann wanaingia ndan alafu dhibiti maana ukitafuta tiba bila kudhibiti uingiaji wao ni ni hatari.na ukiona mazingira yana hao wadudu ujue kuna wadudu wengine wapo around wa jamii hiyo.kama nge na nyoka kwahiyo kama wanatokea nje ya nyumba tafuta oil chafu zungushia nyumba yako yote