Msaada; Cookies na cache huwa ni vitu gani?

Msaada; Cookies na cache huwa ni vitu gani?

OK asante mkuu,Je kama nikizikubali,hizi taarifa si wana uwezo wa kuzitumia vibaya dhidi yangu kama wakiamua?
Mara nyingi hizi taarifa zinakuwa ni unique namba tu ambayo inakuwa created na server wala sio majina yako wala umri wako. Mara nyingi hizi taarifa utumika kwenye matangazo wao wanaweza kujua nini user huyu anapenda

Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
 
Wadau,

Ukiingia website nyingi utaambiwa"We use cookies to enhance performance"hapa watakutaka ukubali cookies(accept)au uzikatae.

Sasa naomba kujua cookies ni nini na kazi zake ni zipi na ukikubali au ukizikataa zina athari gani?

Pili kwenye simu zetu kuna vitu huwa vinaitwa cache,mara nyingi simu inakutaka Ku clear cache,hivi navyo ni vitu gani na vinasaidia nini?

Karibuni kwa ufafanuzi.
Screenshot_20221204-170815_Opera.jpg
Hizi ndio Cookies
 
Cookie ni text file website inaweka kwenye computer yako hii file inasaidia kukutambua wewe kwa website hiyo, cookie inaweza kutumika kwa vitu vya kawaida kama kukumbuka kuwa uko logged in hapa JF lakini pia inaweza kutumika kukutrack (kukufuata fuata) mtandaoni mara nyingi ili kujua umetembelea tovuti zipi ili kuweza kukuonyesha matangazo yanayokufaa zaidi, hii inaleta tatizo la privacy na ndo maana umoja wa mataifa Ulaya ikaleta sheria ya GDPR ambayo inalazimu kampuni ambazo zinadeal na watumiaji wa EU kumtaarifu mtu kuwa wanatumia cookies na kumruhusu kukataa baadhi ya hizo cookies, ndo maana unaona hiyo pop up kila sehemu.
Unaweza kuziona cookies zilizopo kwenye browser yako ukienda kwenye settings.

Cache ni file zilizohifadhiwa kwenye computer yako na tovuti ili kuongeza ufanisi na spidi ya tovuti, kwa mfano ukienda FB na kuangalia picha fulani picha inakuwa downloaded na ipo kwenye machine yako, utakapoenda kuiangalia hiyo picha tena hakuna haja ya kuidownload tena inachukuliwa kwenye machine yako hivyo kupunguza matumizi ya mtandao na kuifanya tovuti ionekane iko fast, website zina njia tofauti za kuamua nini kiwe kwenye cache na hiyo cache idumu muda gani. Cache pia unaweza kuiona ukienda settings.
 
Cookie ni text file website inaweka kwenye computer yako hii file inasaidia kukutambua wewe kwa website hiyo, cookie inaweza kutumika kwa vitu vya kawaida kama kukumbuka kuwa uko logged in hapa JF lakini pia inaweza kutumika kukutrack (kukufuata fuata) mtandaoni mara nyingi ili kujua umetembelea tovuti zipi ili kuweza kukuonyesha matangazo yanayokufaa zaidi, hii inaleta tatizo la privacy na ndo maana umoja wa mataifa Ulaya ikaleta sheria ya GDPR ambayo inalazimu kampuni ambazo zinadeal na watumiaji wa EU kumtaarifu mtu kuwa wanatumia cookies na kumruhusu kukataa baadhi ya hizo cookies, ndo maana unaona hiyo pop up kila sehemu.
Unaweza kuziona cookies zilizopo kwenye browser yako ukienda kwenye settings.

Cache ni file zilizohifadhiwa kwenye computer yako na tovuti ili kuongeza ufanisi na spidi ya tovuti, kwa mfano ukienda FB na kuangalia picha fulani picha inakuwa downloaded na ipo kwenye machine yako, utakapoenda kuiangalia hiyo picha tena hakuna haja ya kuidownload tena inachukuliwa kwenye machine yako hivyo kupunguza matumizi ya mtandao na kuifanya tovuti ionekane iko fast, website zina njia tofauti za kuamua nini kiwe kwenye cache na hiyo cache idumu muda gani. Cache pia unaweza kuiona ukienda settings.
Asante nimepata vizuri,kumbe hizi cookie zilishalalamikiwa kwa sababu zinakufuatafuata ndio maana wakaanza kukutaarifu ili uamue kukubali au kukataa
 
Cache mkuu ni vile vitu ambavyo hutumia mara kwa mara mfano hapa jamiiforums logo ya jamiiforums kila page unayofungua ipo, hivyo browser inaweza kuihifadhi kama cache kufanya page iload faster na kupunguza ulaji mb. So kifupi cache ni mafile ambayo browser inahifadhi ili kuload page kwa haraka zaidi.

Cookies ni kama cache sema website yenyewe ndio inahifadhi mfano unaweka night mode hapa jamiiforums, so jf itatengeneza Cookies ili kila ukiingia jamiiforums night mode inakua on.
Sawasawa
 
1. Cookies (storage kwenye browser yako) inatunza taarifa kama username/password kwa baadhi ya website pale unapo log-in,

ndiyo maana next time uki visit hiyo web , unapita moja kwa moja bila ku log-in, uki clear cookies uka visit web husika tena, utaletewa page ya ku log-in

2. Caches ( storage kwenye browser au app ) inatunza baadi ya taarifa za kimuonekano za website ( au app ) kama logos , images, rangi, fonts, nk ili website i-load haraka ukii-visit mara ya pili

uki clear caches, uka load website ( au ukafungua app), utaona kwamba ina load slow
 
1. Cookies (storage kwenye browser yako) inatunza taarifa kama username/password kwa baadhi ya website pale unapo log-in,

ndiyo maana next time uki visit hiyo web , unapita moja kwa moja bila ku log-in, uki clear cookies uka visit web husika tena, utaletewa page ya ku log-in

2. Caches ( storage kwenye browser au app ) inatunza baadi ya taarifa za kimuonekano za website ( au app ) kama logos , images, rangi, fonts, nk ili website i-load haraka ukii-visit mara ya pili

uki clear caches, uka load website ( au ukafungua app), utaona kwamba ina load slow
Asante kwa maelezo
 
1. Cookies (storage kwenye browser yako) inatunza taarifa kama username/password kwa baadhi ya website pale unapo log-in,

ndiyo maana next time uki visit hiyo web , unapita moja kwa moja bila ku log-in, uki clear cookies uka visit web husika tena, utaletewa page ya ku log-in

2. Caches ( storage kwenye browser au app ) inatunza baadi ya taarifa za kimuonekano za website ( au app ) kama logos , images, rangi, fonts, nk ili website i-load haraka ukii-visit mara ya pili

uki clear caches, uka load website ( au ukafungua app), utaona kwamba ina load slow
What about password manager?

Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom