Agiza kupitia eBaySalute,naitaji control box ya jeep popote ilipo naifata,iliopo imegoma kufanya kazi,naitaji haraka iwezekanavyo,gari ni jeep grand chorokee mwaka 1996 petrol 4.0ltr, lkn pia kama kuna mtu anaweza kuniagizia poa tu,nsaada tafadhari
Agiza kupitia eBay
Nipo mwanzaUko wapi mkuu.
Ok.Nipo mwanza
Acha mzaha, haha haha, mgonjwa amesinzia tu, ajaribu kutembelea kwenye website ya kupatana, anaweza kubahatishaOk.
Kabla hujatekeleza maamuzi ya kupata control box nyingine naomba ueleze kidogo mazingira yaliyoiharibu hiyo iliyopo, pengine "mgonjwa hajafa bali amelala tu"
Akitoa maelezo ninaweza kutoa proposal kutoka garage.Acha mzaha, haha haha, mgonjwa amesinzia tu, ajaribu kutembelea kwenye website ya kupatana, anaweza kubahatisha
Mkuu waliboost na v24,iliwaka nilivopaki ndo mpaka Leo,tuliifungua kuna kapasta zimeungua so hakuna namna zaidi ya kutengenezaAkitoa maelezo ninaweza kutoa proposal kutoka garage.
Hiyo ni kweli inapaswa kupatikana nyingine.Mkuu waliboost na v24,iliwaka nilivopaki ndo mpaka Leo,tuliifungua kuna kapasta zimeungua so hakuna namna zaidi ya kutengeneza
NaipatajeMkuu hio ipo
Nashukuru kwa ushaur mkuu,unaweza nipa maelekezo wapi wanaweza kufanya hiv wanifanyie,hata kesho naweza kuna lkn inabidi nipate ditalz za huwakikaMkuu hizo box zipo nyingi sana usijisumbue kuagiza nje njoo dar zipo kibao mbona..harafu kumbuka ina immobilizer hiyo gari ukiingia kichwa kichwa utabamizwa kama unaweza njoo dar na hiyo yako unapewa nyingine wana kuhamishia chip,eeprom ya immobilizer ukifika kwenye gari ww ni kuchomeka na kuwasha tuu gari.
msaada ndugu zang
simfahamu nisaidie mawasiliano yakeWasiliana na Lenge.Atakusaidia 100%. Ushauri wake ni huakika mkuu