Heshima mbele kwenu wanaJF. Poleni na majukumu. Tafadhalini kwa mwanaJF yeyote anaejua chuo kizuri kinachotoa mafundi cherehani wazuri anijuze
Ninapenda sana hii kazi na designing ila nimetafuta kwa muda mrefu wapi pa kufifunza nimekosa, kila nilipoenda kwa mafundi naishia kupoteza muda na pesa kwani mwisho huishia kurepea nguo za wateja na sio kufundishwa
Naomba msaada kwa anaejua hili hata kama ni nje ya nchi ila iwe ndani ya East Africa
Asanteni
Chrissa
Ninapenda sana hii kazi na designing ila nimetafuta kwa muda mrefu wapi pa kufifunza nimekosa, kila nilipoenda kwa mafundi naishia kupoteza muda na pesa kwani mwisho huishia kurepea nguo za wateja na sio kufundishwa
Naomba msaada kwa anaejua hili hata kama ni nje ya nchi ila iwe ndani ya East Africa
Asanteni
Chrissa