HardMartin
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 308
- 113
- Thread starter
- #21
minimum requirement ya kusoma kozi yoyote ngazi ya certificate ni pass 4 kwa maana inabidi uwe na D au kuendelea
Kwa sheria english ni lazima iwepo kwenye hizo D 4 ila kwa chuo kama IJA ili uwe kwenye nafasi nzuri kupata basi inabidi na vigezo juu ya hapo
kwa vigezo hvyo nafkili dogo alkuwa anaweza pata nafas hata hapo Ija Coz anaufaulu wa wa C-saba Kwenye maxomo ya eng,kisw,math,hist,geo,chem,bios na d- ya civ bt kutokana na hilo suala kuwa ngumu wakat wa ajira cdhan kama ataendelea na huo msimamo wake wa kusoma sheria kwa coz kiuhalisia ni ngumu sana mtoto wa mkulima tena mkulma wa kutafuta ada kusoma akitegemea kuja kujiajr mwenyewe, Labda Kama kuna njia nyingne ya kuweza kupata ajira ya coz hyo mnaweza mnaifaham mnaweza nishaur il hyu kjana aweze tmiza hyo ndoto yake, NATANGULZA SHUKRAN KWA WOTE,axubuh njema