Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,397
- 6,366
Hayo maelekezo nikwamba wewe ukibainika unabadili uchukuliwe hatua siyo wawo hiyo option ni kwaajili ya repair tu hata kubadili inawza lakini nikosahata unapo badili imei kwa box lazma linakupa warning kuwa changing imei iz not legal
hii dawa yake ni kutafuta rom nyingine kama rom kibao zmegoma bas ujue hyo inaweza kuwa haifanani nA zingine... ndo maana unashauriwa ku backup bin au scater kabla hujaflashKwema wakuu, mkuu kcamp na wengineo msaada hapa nina ka tecno L5 kangu kananizingua kweli kana hard brick kila nikijaribu ku kaflash kwenye sp flash kananizingua aiseh kanaleta hii error "BROM ERROR:S_STORAGE_NOT_MATCH(3183) ebu nipeni msaada nyie mlio kwenye hii game muda mrefu.
inategemea simu aina ipi? maana kuna zingine hata box hazitoi mpaka kulipiaMkuu una unlock simu iliyofungwa mtandao mmoja itumie yote?
Mfano vodafone vfd 200inategemea simu aina ipi? maana kuna zingine hata box hazitoi mpaka kulipia
kweli kabisa mkuusamsung tool pro crack 2.24 nadhani ndo latest iliyopo while kwa box latest ni 2.27..... kwenye repair itafanya kazi chache saaaana bt nyingi inafail kirun ztool na hapo ujanja mfukoni.. ikiwa na box hayo yote hukutani nayo.. point yangu ni kumpinga jamaa aliyedai kuwa kazi zote za flashing, unlock na repair unaweza fanya bila hata box, huo ni uongo dhahiri... nimeshatumia almost all cracks bt box ndo kila kitu
vfd 200 ni spd na inatolewa kwa box lolote linalosuport spd chip... kama unatumia infinity lazma u activateMfano vodafone vfd 200
Mkuu yenyewe inataka sim network unlock pin utanisaidiaje?vfd 200 ni spd na inatolewa kwa box lolote linalosuport spd chip... kama unatumia infinity lazma u activate
Infinity Chinese Miracle CM2SPD
yap lakini huwa tuna unlock kwa box.. na ni rahisi tuu...sina uhakika na hyo crack yamiracle box... maana nmewah tumiaikawa inafanya kazi zote isipokuwa unloacking... so jaribu kama itakubali... ikishindwa nenda kwa fundi aliye karibu naweMkuu yenyewe inataka sim network unlock pin utanisaidiaje?
Kwahiyo hiyo link ulonipa ndo ni download hiyo program?yap lakini huwa tuna unlock kwa box.. na ni rahisi tuu...sina uhakika na hyo crack yamiracle box... maana nmewah tumiaikawa inafanya kazi zote isipokuwa unloacking... so jaribu kama itakubali... ikishindwa nenda kwa fundi aliye karibu nawe
"Soma kwenye Legal notices ya kila simu hawaruhusu kufungua wala kuflash mpaka uwe authorizes personel" sasa huyu jamaa ni authorized personel wa kampuni gani? kuhusu box FURIOUS BOX (1-12 ACTIVATED) napita tukosa kwa sheria ipi?
Nimejifunza kitu kikubwa... hua nadowload software moja moja kila napotaka kuUpgrade simu to new version or downgrade kumbe kuna kitu kinaitwa box kina contain softwares zote..
Nilkua nawazaga sana hivi wale jamaa wa kkoo ni kuwa wanashusha OS zote za simu maana huwa hawakosi software yoyote ya simu kumbe wanakua na box.
Mkuu mimi nazihitajiBox ni USB interface tu,unaweza tumia usb na cracked soft nyingi tu ni inbox kama unazihitaji
Dahh ushauri mzuri sana na unaonekana uko poa kwenye haya maswala big upKuflash Simu haiitaji kwa Kiasi kikubwa Kuwa na Boxes
maana almost 70 percent ya simu zina flashika bila kuwa na box
binafs nipo kwenye hii kaz tangu mwaka jana japo tangu nikiwa chuo nilikua naflash simu za wanafunzi ila kiundani nmeanza last year... ningeweza kukushauri mambo kadhaa
miracle box na Volcano ni mabox maarufu sana kwakua yanafanya vitu vingi lakini katika ufanisi wa kutenda kazi hayafai
niamini mkuuu... fuata maelezo ya wakuu waliokwambia uangalie aina simu zinazopatikana maeneo uliyopo.
kama kuna wateja wengi wa simu za kichina kama (spd na MTK) yaani tecno, itel na wengine nakushauri first priority chukua infinity box, option ya pili ningeweza kukushauri iwe miracle box ..
uzuri wa miracle ukilipia inakuja na package ya simu zinazosuport zote , lakini infinity ndio nzuri ila kila aina ya jamii ya simu unalipia kivyake... mfano ili kuflash simu za mtk utalipia huduma ya mtk pia hivyo hivyo kwa qualcom na spd na nokia.
pia hizi simu za kichina linapokuja suala la ku unlock mtandao infinity inafyatua simu za kichina kiurahisi kuliko volcano na miracle....
lakini hayo mabox linapokuja suala la simu za gharama hasa samsung, lg na baadhi ya huawei Hayo mabox hapo juu hayana msaada sana... hapo utahitaji uwe na octoplus, octopus na zx3 ndo yanafaa zaidi
pia ukija kwenye visimu vidogo vya button hasa vya MTK, Coolsand, Spd, mstar na wengine Baba yao ni GPG box... Hili ni very cheap pia lina saidia na zle smartphone low quality za kichina zisizo na 3g, kutoa passwords na vitu vingine...
lakini pia Kuna ishu za ku unlock mtandao watu wanashauri uwe NCK, Sigma key na Furious box (japo mm mwenyewe sijawah tumia
lakini Muhimu Jifunze kuflash smu na Ku repair bila kutumia mabox kwanza ndo utaiva