Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 3,971
- 4,479
Kurepair ni kurudishia IMEI zilizokuja na simu ( simu zinatabia ya kupoteza IMEI, unakuta inasoma 0000)Hapa kwenye kurepair IMEI na kuchange EMEI ndio naomba tofauti yake! Naomba kueleweshwa
Kuchange ni kubadilisha IMEI (unaacha kuweka IMEI zilizokuja na simu unaweka IMEI nyingine) Hili ndo kosa kisheria