Msaada: Box gani latest lenye uwezo wa kuflash simu aina nyingi?

hata unapo badili imei kwa box lazma linakupa warning kuwa changing imei iz not legal
Hayo maelekezo nikwamba wewe ukibainika unabadili uchukuliwe hatua siyo wawo hiyo option ni kwaajili ya repair tu hata kubadili inawza lakini nikosa
 
Kwema wakuu, mkuu kcamp na wengineo msaada hapa nina ka tecno L5 kangu kananizingua kweli kana hard brick kila nikijaribu ku kaflash kwenye sp flash kananizingua aiseh kanaleta hii error "BROM ERROR:S_STORAGE_NOT_MATCH(3183) ebu nipeni msaada nyie mlio kwenye hii game muda mrefu.
 
Kwema wakuu, mkuu kcamp na wengineo msaada hapa nina ka tecno L5 kangu kananizingua kweli kana hard brick kila nikijaribu ku kaflash kwenye sp flash kananizingua aiseh kanaleta hii error "BROM ERROR:S_STORAGE_NOT_MATCH(3183) ebu nipeni msaada nyie mlio kwenye hii game muda mrefu.
hii dawa yake ni kutafuta rom nyingine kama rom kibao zmegoma bas ujue hyo inaweza kuwa haifanani nA zingine... ndo maana unashauriwa ku backup bin au scater kabla hujaflash
 
samsung tool pro crack 2.24 nadhani ndo latest iliyopo while kwa box latest ni 2.27..... kwenye repair itafanya kazi chache saaaana bt nyingi inafail kirun ztool na hapo ujanja mfukoni.. ikiwa na box hayo yote hukutani nayo.. point yangu ni kumpinga jamaa aliyedai kuwa kazi zote za flashing, unlock na repair unaweza fanya bila hata box, huo ni uongo dhahiri... nimeshatumia almost all cracks bt box ndo kila kitu
kweli kabisa mkuu
 
Mkuu yenyewe inataka sim network unlock pin utanisaidiaje?
yap lakini huwa tuna unlock kwa box.. na ni rahisi tuu...sina uhakika na hyo crack yamiracle box... maana nmewah tumiaikawa inafanya kazi zote isipokuwa unloacking... so jaribu kama itakubali... ikishindwa nenda kwa fundi aliye karibu nawe
 
yap lakini huwa tuna unlock kwa box.. na ni rahisi tuu...sina uhakika na hyo crack yamiracle box... maana nmewah tumiaikawa inafanya kazi zote isipokuwa unloacking... so jaribu kama itakubali... ikishindwa nenda kwa fundi aliye karibu nawe
Kwahiyo hiyo link ulonipa ndo ni download hiyo program?
 
Nimejifunza kitu kikubwa... hua nadowload software moja moja kila napotaka kuUpgrade simu to new version or downgrade kumbe kuna kitu kinaitwa box kina contain softwares zote..
Nilkua nawazaga sana hivi wale jamaa wa kkoo ni kuwa wanashusha OS zote za simu maana huwa hawakosi software yoyote ya simu kumbe wanakua na box.
 
kosa kwa sheria ipi?
"Soma kwenye Legal notices ya kila simu hawaruhusu kufungua wala kuflash mpaka uwe authorizes personel" sasa huyu jamaa ni authorized personel wa kampuni gani? kuhusu box FURIOUS BOX (1-12 ACTIVATED) napita tu
 
Nimejifunza kitu kikubwa... hua nadowload software moja moja kila napotaka kuUpgrade simu to new version or downgrade kumbe kuna kitu kinaitwa box kina contain softwares zote..
Nilkua nawazaga sana hivi wale jamaa wa kkoo ni kuwa wanashusha OS zote za simu maana huwa hawakosi software yoyote ya simu kumbe wanakua na box.

Box ni USB interface tu,unaweza tumia usb na cracked soft nyingi tu ni inbox kama unazihitaji
 
Kuflash Simu haiitaji kwa Kiasi kikubwa Kuwa na Boxes
maana almost 70 percent ya simu zina flashika bila kuwa na box
binafs nipo kwenye hii kaz tangu mwaka jana japo tangu nikiwa chuo nilikua naflash simu za wanafunzi ila kiundani nmeanza last year... ningeweza kukushauri mambo kadhaa

miracle box na Volcano ni mabox maarufu sana kwakua yanafanya vitu vingi lakini katika ufanisi wa kutenda kazi hayafai
niamini mkuuu... fuata maelezo ya wakuu waliokwambia uangalie aina simu zinazopatikana maeneo uliyopo.

kama kuna wateja wengi wa simu za kichina kama (spd na MTK) yaani tecno, itel na wengine nakushauri first priority chukua infinity box, option ya pili ningeweza kukushauri iwe miracle box ..
uzuri wa miracle ukilipia inakuja na package ya simu zinazosuport zote , lakini infinity ndio nzuri ila kila aina ya jamii ya simu unalipia kivyake... mfano ili kuflash simu za mtk utalipia huduma ya mtk pia hivyo hivyo kwa qualcom na spd na nokia.
pia hizi simu za kichina linapokuja suala la ku unlock mtandao infinity inafyatua simu za kichina kiurahisi kuliko volcano na miracle....

lakini hayo mabox linapokuja suala la simu za gharama hasa samsung, lg na baadhi ya huawei Hayo mabox hapo juu hayana msaada sana... hapo utahitaji uwe na octoplus, octopus na zx3 ndo yanafaa zaidi

pia ukija kwenye visimu vidogo vya button hasa vya MTK, Coolsand, Spd, mstar na wengine Baba yao ni GPG box... Hili ni very cheap pia lina saidia na zle smartphone low quality za kichina zisizo na 3g, kutoa passwords na vitu vingine...

lakini pia Kuna ishu za ku unlock mtandao watu wanashauri uwe NCK, Sigma key na Furious box (japo mm mwenyewe sijawah tumia


lakini Muhimu Jifunze kuflash smu na Ku repair bila kutumia mabox kwanza ndo utaiva
Dahh ushauri mzuri sana na unaonekana uko poa kwenye haya maswala big up
Ila na swali software ipi ni nzuri kwa kuwa unlock simu
 
Anaeweza ni-unlockia modem yangu, Huawei ec122, ni ya zantel, lkn naona wanazingua

Kwa free au hela...jitokeze chap
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom