kagombe
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 3,508
- 1,642
nitafute 0754 60 45 67Samahani wakuu ni mdau mwenzenu baada ya kuchoshwa na hizi kazi za kikoloni nataka nifungue kaofisi na kutengeneza laptops na simu..naomba kujua ni box gani inayotumika sana kwa sasa yenye uwezo wa ku-flash simu nyingi zaidi...