Mr egm
Senior Member
- Jan 24, 2014
- 153
- 6
Naombeni Msaada wenu niliomba mkopo mwaka huu.
Juz wametoa majina ya ambao form zao ni incomplete ila na langu lipo.
Nina kopi lakini kila Mahali nimepajaza kiusahihi ila wao wamesema hakuna sahihi yang; na hakuna sehem sijatia sahihi,nishaurini nifanyeje watumishi wa Mungu!
Juz wametoa majina ya ambao form zao ni incomplete ila na langu lipo.
Nina kopi lakini kila Mahali nimepajaza kiusahihi ila wao wamesema hakuna sahihi yang; na hakuna sehem sijatia sahihi,nishaurini nifanyeje watumishi wa Mungu!