Nimeomba mkopo ila control number inaleta 50000 na natakiwa kulipa 30000.
kilipa fedha inarudi… nimeenda mpaka bodi ya mikopo wanasema it wao ndo bado hajafanyia kazi na siku zimebaki mbili.
Kuna aliyepata changamoto kama hii na ametokaje dakika za lala salama hizi?
kilipa fedha inarudi… nimeenda mpaka bodi ya mikopo wanasema it wao ndo bado hajafanyia kazi na siku zimebaki mbili.
Kuna aliyepata changamoto kama hii na ametokaje dakika za lala salama hizi?