Matunzo 02
JF-Expert Member
- Jul 7, 2026
- 821
- 1,629
Wakuu naomba kufahamu mchanganuo wa biashara ya kuchaji simu mtaji, faida, hasara
mtaji ni shingap?Mtaji chaja na Kobe.
Hasara simu ikipotea lazima uilipe
Laki mbili za kitanzania.mtaji ni shingap?
150kmtaji ni shingap?
asant mkuu150k
Umeme 20k
Extension cable 30k
Chaji kwa ujumla za 60k
Kobe 40k