Msaada bei ya printer

Msaada bei ya printer

ndugufred

Senior Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
137
Reaction score
44
Nahitaj printer,preferably HP,ambayo wino wake unapatkana kirahis na cheap.Isiwe ndogo sana coz nataka kuitumia kwenye stationary,ila speed iwe ya kutosha na isiwe zle kubwa zenye function nyingi coz uchumi una bana and am only interestd in printing.Kama una suggestions zozote,bila kusahau bei zake nisaidie plz!
 
Hp zina namba mkuu! Ila kwa maelezo yako inayokufaa ni ya kutumia cartradge 2. Moja colour nyingine black. laki moja unapata printer.
 
Hp zina namba mkuu! Ila kwa maelezo yako inayokufaa ni ya kutumia cartradge 2. Moja colour nyingine black. laki moja unapata printer.

Thanx!Namba ndo kat ya vtu ambavyo sivijui,thats why nmeuliza,ili anayejua anambie nikatafute namba ngapi nikiwa nmeshajua na bei yake.
 
Kwema humu? Aiseh na mimi na shida na printer Haswa brand ya HP kwa matumizi ya kawaida tu bei sahivi zina range sh ngapi wadau?
 
Kwema humu? Aiseh na mimi na shida na printer Haswa brand ya HP kwa matumizi ya kawaida tu bei sahivi zina range sh ngapi wadau?

Nahitaj printer,preferably HP,ambayo wino wake unapatkana kirahis na cheap.Isiwe ndogo sana coz nataka kuitumia kwenye stationary,ila speed iwe ya kutosha na isiwe zle kubwa zenye function nyingi coz uchumi una bana and am only interestd in printing.Kama una suggestions zozote,bila kusahau bei zake nisaidie plz!

Naona HP wametoa Printer zenye external Ink Tanks, HP DeskJet GT 5820 All-in-One Printer, HP DeskJet GT Ink Tank System | HP® Philippines

Hapa Bongo sijaziona, ila noana Nairobi zipo; HP DeskJet GT 5820 All-in-One Printer with continous inks.

Unaweza jaribu Hiyo
 

Attachments

  • HP DeskJet GT 5820.jpg
    HP DeskJet GT 5820.jpg
    6.1 KB · Views: 117
hizo hp mbovu sana..utapoteza pesa yako bure..
sidhani kama ni mbovu ila hazifai kwa matumizi yoyote makubwa. hio inafaa una ofisi au ipo nyumbani unaprint mara 1 kwa wiki. yako iliharibika mapema?
 
Sawa. printer gan nii nzuri kwa matumizi ya stationery?
sijafanya utafiti mkuu ipi ni nzuri.

ila pia itategemea unaifanyia nini,

kama ni stationary zile za watoto wanaotaka photocopy za sh 25 za vitini utahitaji photocopy yenye wino wa gharama nafuu.

na kama unaprint makadi ya harusi, birthday na vitu vyengine vya quality kubwa pia utahitaji printet nzuri kama za laserjet au led.

tafuta mtu mwenye stationary mzoefu atakupa hints.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom