Nahitaj printer,preferably HP,ambayo wino wake unapatkana kirahis na cheap.Isiwe ndogo sana coz nataka kuitumia kwenye stationary,ila speed iwe ya kutosha na isiwe zle kubwa zenye function nyingi coz uchumi una bana and am only interestd in printing.Kama una suggestions zozote,bila kusahau bei zake nisaidie plz!