jeipm
JF-Expert Member
- Sep 28, 2018
- 500
- 820
Hawa bata ni wa ukoo mmoja na ndo Mara ya kwanza wao kutaga ila tatizo wanataga wote sehemu moja.
Nimejaribu kumtenga mmoja kwa kumfunika, na kila nikimfunika sehemu tofauti hatagi hiyo sehemu, ukimfunua anaenda kutaga sehemu ile ile ya mwenzake.
Kitu gani wadau naweza kufanya ili kuwatenganisha hawa bata maji?
Nimejaribu kumtenga mmoja kwa kumfunika, na kila nikimfunika sehemu tofauti hatagi hiyo sehemu, ukimfunua anaenda kutaga sehemu ile ile ya mwenzake.
Kitu gani wadau naweza kufanya ili kuwatenganisha hawa bata maji?