G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,651
- 8,686
haha haaa,mmbavu zangu! But ahsante mkuu
Mbona unacheka?umebeza..haya ndugu ubarikiwe na safari njema
haha haaa,mmbavu zangu! But ahsante mkuu
Ndege ipo pia
Kuna basi jipya luxury linaitwa TABORA MOJA rangi ya kijani ,linapaki na ofisi zao zipo magomeni mapipa karibu na hotel ya jangwani.Nenda mkuu ukawasiliane nao.
Una muda gani hujasafiri kwenda Tabora???
Mkuu humu JF kuna watu wanajifanya wajuaji sana, jitu alijafika Tabora miaka zaidi ya 10 iliyopita.
Kuna luxury bus za kutosha tu, hadi Kigoma kuna luxury bus.
Heeee barabara kuanzia singida vumbi??singida ipi hiyo??kama hujui usipoteze wenzio loooh..no lami ww acha uongo
Hakuna mabasi luxury Dar-Tabora, yote ni siti za Two by three tena ni NBS kwa sababu kutoka Singida pale barabara ni vumbi matajjiri wengi hawapeleki magari mazuri. Kama unaweza panda ndege au panda ya Mwamza then ulale kesho yake ndo uende Tabora
Habari wana jf?
Naomba kujua basi luxury linalofanya safari za Dar-Tabora. Kuna ndugu yangu ana mtoto mchanga anatarajia kusafiri hivi karibuni,sasa ili asafiri comfortably ningependa apande basi zuri.
Kwa anayejua naomba anijulishe.
Natanguliza shukurani zangu kwenu.
Ahsante
Hakuna mabasi luxury Dar-Tabora, yote ni siti za Two by three tena ni NBS kwa sababu kutoka Singida pale barabara ni vumbi matajjiri wengi hawapeleki magari mazuri. Kama unaweza panda ndege au panda ya Mwamza then ulale kesho yake ndo uende Tabora