cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Wapendwa wangu amani ya Mungu wetu na iwe juu yenu.
nimekuja mbele zenu nikiwa na shida ya kuomba kuelezwa taratibu ZOTE za kuanzisha BAHATI NASIBU.
I hope nimeeleweka, ila kama sijaeleweka nitajieleza tena.
Thanks in advance n be blessed all of u.
lav you all.
Cheusimangala.
nimekuja mbele zenu nikiwa na shida ya kuomba kuelezwa taratibu ZOTE za kuanzisha BAHATI NASIBU.
I hope nimeeleweka, ila kama sijaeleweka nitajieleza tena.
Thanks in advance n be blessed all of u.
lav you all.
Cheusimangala.