mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 311
Mubarikiwe nyote
Nisaidieni kwa anaejua mke wangu hua anakawaida ya kupunguzia akiwa na mimba (hua anapata hedhi japo kidogo) sasa katika mimba hii naona imekua nno yaani ametoka damu nyingi zaidi ya siku zake za kawaida baada ya kuenda hospital tukaambiwa mimba imechoropoka labda ka kazi ngumu ama sababu nyengine.
Kwa sababu ya maumivu makali ikabidi tupige Ultrasound ikabainika kua anauchafu katika fuko lake la uzazi (incomplete Abortion) tukashauriwa asafishe.
Tatizo amegoma kabisa kusafishwa anasema anaogopa maana kasikia inauma sana pia anasema kuangaliwa uchi wake na mtu mwengie haiwezekani.
Naombeni dawa ya kuweza kusafisha ili atumie maaana ameshapoteza damu nyingi.
Nisaidieni kwa anaejua mke wangu hua anakawaida ya kupunguzia akiwa na mimba (hua anapata hedhi japo kidogo) sasa katika mimba hii naona imekua nno yaani ametoka damu nyingi zaidi ya siku zake za kawaida baada ya kuenda hospital tukaambiwa mimba imechoropoka labda ka kazi ngumu ama sababu nyengine.
Kwa sababu ya maumivu makali ikabidi tupige Ultrasound ikabainika kua anauchafu katika fuko lake la uzazi (incomplete Abortion) tukashauriwa asafishe.
Tatizo amegoma kabisa kusafishwa anasema anaogopa maana kasikia inauma sana pia anasema kuangaliwa uchi wake na mtu mwengie haiwezekani.
Naombeni dawa ya kuweza kusafisha ili atumie maaana ameshapoteza damu nyingi.