Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,043
Madaktari mnisaidie!
Dada yangu anateseka sana na tatizo hili akibeba mimba mara baada ya miezi 3 ikifika anasema kama damu inamtoka mara baada ya wiki mimba inatoka! umekuwa.mchezo wa muda mrefu, hospital amepimwa sana hakuna tatizo.zaidi ya kuambiwa apumzike! Yeye amesema kuna rafiki zake wengine watatu wametokewa na tatizo kama, hilo na inasemekana hili tatizo linawasumbua wengi kaasasa.
Tunaombeni msaada wa kiushauri na matibabu
Dada yangu anateseka sana na tatizo hili akibeba mimba mara baada ya miezi 3 ikifika anasema kama damu inamtoka mara baada ya wiki mimba inatoka! umekuwa.mchezo wa muda mrefu, hospital amepimwa sana hakuna tatizo.zaidi ya kuambiwa apumzike! Yeye amesema kuna rafiki zake wengine watatu wametokewa na tatizo kama, hilo na inasemekana hili tatizo linawasumbua wengi kaasasa.
Tunaombeni msaada wa kiushauri na matibabu