Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,372
- 12,479
Sifahamu nadhani inaingia hata kwenye mil mbili hivi mpya kabisa
Yangu sikuinunua hapa
Hiyo 23 tuachane nayo.. S24U huko itakua kiasi gani?
Imetanganzwa leo nimeona
Sifahamu nadhani inaingia hata kwenye mil mbili hivi mpya kabisa
Yangu sikuinunua hapa
Ok, na 24 iliotoka leo inategemewa kua kiasi gani?S23 Ultra si chini ya 2.5M
Utapata refubkwa mfano s10+ mpya zinapatikana kwa sasa au zilizotumika?
Sijaona bei zake nasikia imetoka leoHiyo 23 tuachane nayo.. S24U huko itakua kiasi gani?
Imetanganzwa leo nimeona
Usinunue simu used utakuja kulia ikianza kusumbua A series ziko poa tu zinakaa na chaji nyingine mbwembwe tu.kwa mfano s10+ mpya zinapatikana kwa sasa au zilizotumika?
Utapata refub, Lolkwa mfano s10+ mpya zinapatikana kwa sasa au zilizotumika?
Ila kuna watu mna masifa ya kijinga humu,mwenzio kasema bajeti yake ni laki 4,wewe unamletea hadithi za million mbili.Sifahamu nadhani inaingia hata kwenye mil mbili hivi mpya kabisa
Yangu sikuinunua hapa
Umekunywa chai mkuuIla kuna watu mna masifa ya kijinga humu,mwenzio kasema bajeti yake ni laki 4,wewe unamletea hadithi za million mbili.
Kuna ambazo zipo vizuri ukibahatishahizi refub inaonekana ni patapotea yan nizakubahatisha nyingi zimechoka
Mkuu si ameuliza bei na mie nimemjibu huenda akabadilisha mawazoIla kuna watu mna masifa ya kijinga humu,mwenzio kasema bajeti yake ni laki 4,wewe unamletea hadithi za million mbili.
Huwaga Nina jamaa mmoja nikitaka kununua naenda naye anajua simu vizuri mnoKwny kuitambua ambayo bdo ipo kwny hal nzur ndo mtihan maana c mtaalam kweny hzo mambo
Mcheki jamaa anaitwa genuinestoretz Instagramfrxh. Fanya ivo
Nadhani itakua around 3.5ml mpaka 4ml hukoSijaona bei zake nasikia imetoka leo