Msaada anayefahamu kuhusu 'Samsung Galaxy A14 5G

Sal pa

Senior Member
Feb 5, 2023
161
188
Habari wana JF !

Nimekusudia kumiliki simu hii ila bei yake kwa sasa siijui, so kwa yeyote anae jua bei yake naomba anifahamishe na wapi sehem duka ambalo nawez ipata og yenyew hapa Dar maana nakutana na wengne wana lalamika kuuziwa feki.
 
Budget yako ni ngapi mkuu? Maana hiyo series imeshakuwa zilipendwa, A15, A25 zimeshatoka tayari✅
 
Habari wana JF !

Nimekusudia kumiliki simu hii ila bei yake kwa sasa siijui, so kwa yeyote anae jua bei yake naomba anifahamishe na wapi sehem duka ambalo nawez ipata og yenyew hapa Dar maana nakutana na wengne wana lalamika kuuziwa feki.
Unataka ukope????maana kma mkopo simu inakwenda million moja kasoro
 
Laki 4 Kingsmann, post: 49079375, member: 510607
Screenshot_2024-01-17-10-54-22-819_com.twitter.android-edit.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom