Kwa bajeti hiyo si uende kko upate tu mtumba wa samsung note 9 na change ibaki ufurahie technolojia ya flagship phoneLaki 4 Kingsmann, post: 49079375, member: 510607
Huyo anakupoteza Xiaomi, Redmi something ya budget hiyo kwenye maduka ya Tigo ufurahie na MaGB ya bure mwaka mzimavp una uzoefu na hzo used? Hyo note 9 inabei gan
Sana tu,nenda utajua hukovp una uzoefu na hzo used? Hyo note 9 inabei gan
Unataka ukope????maana kma mkopo simu inakwenda million moja kasoroHabari wana JF !
Nimekusudia kumiliki simu hii ila bei yake kwa sasa siijui, so kwa yeyote anae jua bei yake naomba anifahamishe na wapi sehem duka ambalo nawez ipata og yenyew hapa Dar maana nakutana na wengne wana lalamika kuuziwa feki.
Bei yake ni around laki nne na kidogo hivi , nunua Xiaomi Redmi note 12,4G kwa hela hio hio au 5G kwa kuongeza hela kidogo tuok sawa
Mkuu sikushauri kabsa kununua simu used aiseee heri ununue simu mpya ndani ya budget yako hio mitumba haidumu bila mattzo na nyingi hazikai na chaji kabsavp una uzoefu na hzo used? Hyo note 9 inabei gan
Laki 4 Kingsmann, post: 49079375, member: 510607
S ipi nzuri?Samsung A series hamna kitu
Jipatie samsung S series utafurahia
Kwanzia S 10 + hadi S 23 ultra ni simu poa sanaS ipi nzuri?
Ok, 23 ni kiasi gani kwa sasa?Kwanzia S 10 + hadi S 23 ultra ni simu poa sana
S23 Ultra si chini ya 2.5MOk, 23 ni kiasi gani kwa sasa?
Sifahamu nadhani inaingia hata kwenye mil mbili hivi mpya kabisaOk, 23 ni kiasi gani kwa sasa?
S ipi nzuri?