Ina gharamikia in what percentages. Msiba unambo mengi sana sidhani higo ela inayotolewa naweza cover kila kitu.Msiba wa mzazi, mwenza au mtoto serikali/ofisi yake hugharamikia.
Ilikuwaje akakope au ni msiba usiotambulika ofisini kwake?
Au yuko local government?
Maana huko local government mambo yenu mnayajua wenyewe.
Mwajiri wake ndiye anaweza ku cancel huo mkopo within 5 minutes.
So, asisumbue madalali wa bank ABC
Harafu anafikiri hatujuiHuyo rafiki yako ni wewe mwenyewe.
Polisi hawahusiki, aende bank au kwa mwanasheriaOk, licha ya kuwa wanamwambia imeenda hazina.... mimi nilimshauri aende polisi kupata zuio la mkopo, vipi hapo?
Kabisa. Maana la kuchukua mkopo haiwezi kufikiwa. Akaongee na loan Officer husika ikiwezekana Branch Manager. Niliwahi kuwa na case ya hivi na ABSA Bank niliongea nao wasitishe walisitisha na installment niliyokuwa nimefanya nilirejeshewa.Wamekiuka masharti ya muda, atafute mwanasheria yanaisha haya
Si kweli hayo mambo yalikuwa zamani sana siku hizi labda msiba wa mwenza na mtoto tu ndo unaweza kuambulia chochote lakini mzazi unakomaaa mwenyewe tu labda uwe ni KM au Waziri au Mkurugenzi ndo unaweza kupata lakini mtumishi wa kawaida tu hupati hata sanda msiba wa mzaziMsiba wa mzazi, mwenza au mtoto serikali/ofisi yake hugharamikia.
Ilikuwaje akakope au ni msiba usiotambulika ofisini kwake?
Au yuko local government?
Maana huko local government mambo yenu mnayajua wenyewe.
Mwajiri wake ndiye anaweza ku cancel huo mkopo within 5 minutes.
So, asisumbue madalali wa bank ABC
Hapana.Si kweli hayo mambo yalikuwa zamani sana siku hizi labda msiba wa mwenza na mtoto tu ndo unaweza kuambulia chochote lakini mzazi unakomaaa mwenyewe tu labda uwe ni KM au Waziri au Mkurugenzi ndo unaweza kupata lakini mtumishi wa kawaida tu hupati hata sanda msiba wa mzazi
Mwisho wa siku shida huwa zinafika mwishoMungu niepushe na hili swala la mikopo, japo juzi kati nilitaitiwa nikawza kukopa ila nikakubali acha nidharaulike
Ofisi hizi hizi za serikali ya Mama? Basi mwenzetu una ka-CheoHapana.
Kazini kwetu ofisi ilitoa waraka wa maslahi ya watumishi na muundo wa utumishi.
Hata wa mkataba anahudumiwa kila kitu akifiwa na mzazi, mwenza au mtoto.
Takupigia picha baadaye uone
Hapo ni kutafuta msaada wa kisheria kwa sababu washakiuka makubaliano.Kaisha ingia mzima mzima tufanyeje na pesa hadi sasa hana nimeshindwa mlaumu maana bado ana huzuni za msiba...
Ajinyonge tu akajumuike na huyo ndugu yake aliemtanguliaNimepokea, taarifa usiku huu za rafiki yangu aliyepatwa na msiba mwishoni mwa mwaka jana na kuzika January mwaka huu.
Ni mtumishi wa serikalini kapatwa na msiba ghafla akaenda kukopa Bank ya ABC ili kumsaidia na masuala ya msiba, Tsh milioni 2 hiyo tarehe 29/12/2023.
Kaambiwa baada ya masaa 24 pesa itaingia ila hadi leo tarehe 8/01/2024 pesa hakuna na kwa taarifa ni kuwa, taarifa zake kwa mkuu wake wa kazi zimeishapita kasaini apewe mkopo ila kaambulia patupu hadi leo.
Msiba uliishaisha kwa msaada wa raia wema wakamkopesha akayamaliza huko kwao, sasa ndiyo naongea naye hapa anaomba ushauri jinsi ya kujitoa kwenye mkopo huu hewa.
Msaada kwa huyu ndugu kama ni wa kisheria ajitoe tu kwenye hili janga.
Mteja husaini makubaliano ya mkopo na benki, kama hajasaini hapo mkopo hakuna. Huu wasiwasi unatoka wapi?Nimepokea, taarifa usiku huu za rafiki yangu aliyepatwa na msiba mwishoni mwa mwaka jana na kuzika January mwaka huu.
Ni mtumishi wa serikalini kapatwa na msiba ghafla akaenda kukopa Bank ya ABC ili kumsaidia na masuala ya msiba, Tsh milioni 2 hiyo tarehe 29/12/2023.
Kaambiwa baada ya masaa 24 pesa itaingia ila hadi leo tarehe 8/01/2024 pesa hakuna na kwa taarifa ni kuwa, taarifa zake kwa mkuu wake wa kazi zimeishapita kasaini apewe mkopo ila kaambulia patupu hadi leo.
Msiba uliishaisha kwa msaada wa raia wema wakamkopesha akayamaliza huko kwao, sasa ndiyo naongea naye hapa anaomba ushauri jinsi ya kujitoa kwenye mkopo huu hewa.
Msaada kwa huyu ndugu kama ni wa kisheria ajitoe tu kwenye hili janga.
Aachane nao vipi na wakati hadi mkuu wake alisaini apewe mkopo?...Kama hajaanza kukatwa aachane nao. Haina Kazi Tena....!
Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
Au sioSawa, watu kama nyie kwenye jamii hamkosi....