Mrithi wa REGIA ni Cecilia Paresso

Mrithi wa REGIA ni Cecilia Paresso

Alafu hili lina ukweli ndani yake!

Fedha - Mkulo,
Mambo ya Ndani - Shamsi,
Afya - Hadji,
Ulinzi - Hussein,
Elimu - Shukuru,
etc..



umetaja watano tu,angali hapa sasa,
mambo ya nje Benard membe
Uwekezaji-maria Nagu
Biashara-Cyril chmi
Mifugo-David Mathayo
Nishati na Madini-wilium Ngeleja
Utalii-Ezekiel
Maji-Markson mwandosya
michezo-Emmanuel ..............................................................nk nk nk.mnaulizana dini na ukabila mnataka kutambika?
 
Tatizo sio kuijaza hiyo nafasi, tatizo ni kumpata mtu aina ya Regia. Haijalishi atatoka wapi, kabila gani, dini gani.
 
Nasikia dada huyu aliwahi kusababisha ugomvi wa kindoa na aliyekuwa mke wa zamani wa****** ambaye hivi sasa ni mbunge wa viti maalum, Rose Kamili.

Mama P, hongera kwa kuoanisha jina na jinsi ulivyo.
 
kiongozi wa ngazi yoyote ni kioo cha jamii anayoiongoza.kiongozi huandaliwa,hujengwa na kuendelezwa.kiongozi hawezi kuibuka kutoka kusikojulikana.Kwa hiyo ni vyema sana kumfahamu vizuri kiongozi anayekuja kutuongoza.Ipo siku atakuja kuomba nafasi ya juu zaidi ya hiyo,kama hatumjui vizuri tutafanya makosa.
 
Tumeshuhudia juzi huko igunga jinsi matokeo ya mwaka 2010 yalivyowadanganya CUF.nadhani hata katika hii nafasi watu wangeshindanishwa kama walivyoshindanishwa mwanzo ili kuwapima kama bado wanakubalika kwa wananchi na wapiga kura wao.
 
Sawa kabisa!! mijitu mingine hata kufuatilia kitu kidogo kama hiki wanashindwa. Then wanajiita wanajua kufikiri. The list was with Mr Tendwa kitambo
 
Ndugu Kwamwela. Nadhani ufafanuzi upo wazi. Ile orodha ya last year kulingana na uchaguzi uliweka 1-102. Sasa ingekuwa soo kubwa kwa CDM endapo wangemchukua mtu wa 29 au wa 101 katika orodha na kukiuka taratibu. Pamoja na kutambua kuwa pengine Ifakara wanachama wa CDM wapo, Regia hakuwa anawakilisha Ifakara bali watz, hii lazima iwe wazi.Hakuwa anawakilisha mikoa ya kusini (Kama Rejao anavyo walazimisha watu kufikiri), bali aliwakilisha watz wote. Sasa ni hoja mfu kusema mbona mbona mbona......? Kimsingi hii ya kuangalia representation kwa misingi ya maeneo inatufanya tuwe more subjective as opposed to being objective. Matokeo yake ni nini? Watu wanachaguliwa bora awepo mwakilishi! Sipendi nikumbuke hoja za spika kuwa alihitajika mwanamke kwa wakati wa sasa, bila kujali kuwa uongozi ni ascribed....na lazima mtu apewe uongozi based on merits not on felt desire of some individuals out there!
Hata mimi nilikuwa na mashaka kuhusu jinsi gani amepatikana mrithi huyo, ila baada ya maelezo nimekuwa convert na ninadhani CDM wapo sahihi kwa uteuzi huu.
Swali la kujiuliza hapa ni kwa kiwango gani anaweza kuwa Regia's match? Je anaweza kuvaa viatu vyake? Je CDM wamejiandaa viti kumnoa na kuhakikisha jembe lililozimika linapatikana lingine na make ile ile na kuendeleza mapambano ya kuwakomboa watanzania.
Mh...hongerakamanda;Lakini Dr,hivi wana CHADEMA Ifakara hawapo?
Ni vema kujiepusha na lawama toka kwa magamba kwa kuhakikisha si tu haki inatendeka,bali inaonekana kuwa imetendeka
 
Great thinker,
hayo yakuishi kwa Mtu yanahusiana vipi na CV ya mtu, Kila mtu katika maisha amepita nakuishi nawatu mbalimbali isiwe sababu. Acheni uzushi wa mambo kama una sababu ambazo unataka kuzileta hapa zitakurudia mwenyewe.

Najua wewe uliye andika hili uko Karatu it won't work, jaribuni njia nyingine. Bahati ya mwenzio Please please msiilalie mlango wazi.

Mlijaribu kuzuia tangu mwanzo,lakini mpango wa Mungu hauzuiliki ana haki na ni mwanachama halali mengine msiyajenge.
Shemeji walimwengu wana dogo?yaani hapo hata wewe saivi wanakuonea gere kweli.kula maisha ni wakati wako huu.
Vipi za tangu siku ile Ifakara.
 
Lakini kulingana na sheria ya uchaguzi, jina la mrithi huyu linapaswa kutoka Tume ya Uchaguzi.
 
majina yapo nec since 2010 na uteuzi huu umefanywa na tume sio chadema..,.
Mh...hongerakamanda;Lakini Dr,hivi wana CHADEMA Ifakara hawapo?
Ni vema kujiepusha na lawama toka kwa magamba kwa kuhakikisha si tu haki inatendeka,bali inaonekana kuwa imetendeka
 
Dk Slaa, ebu jitokeze ulitolee ufafanuzi hili jambo namna mlivyompata mrithi wa Regia Mtema.
 
Mi nadhani mbadala wa Rejia Mtema japo angetoka Nyanda za juu kusini mikoa ya Mbeya. Huko kwa sasa CHADEMA ina wafuasi wengi ambapo wabunge wake ni wawili tu. Laiti kama wangepata mpiganaji mwingine angewaongezea nguvu akina Sugu ili kuendele kukijenga Chama
 
Sitaki kulaumu kwanza nataka kujua utaratibu waliotumia kumpata huyu ndugu yake Dr.manake tunakoelekea sasa naogopa
 
Kuongoza watu ni kazi sana..especially watu wasiopenda kusoma na kutafiti mambo kama WaTZ
 
Nafuu umenisaidia kaka majitu mengine yanangalia upande mmoja tu .Utafikira baraza linaundwa na watu watano
umetaja watano tu,angali hapa sasa,
mambo ya nje Benard membe
Uwekezaji-maria Nagu
Biashara-Cyril chmi
Mifugo-David Mathayo
Nishati na Madini-wilium Ngeleja
Utalii-Ezekiel
Maji-Markson mwandosya
michezo-Emmanuel ..............................................................nk nk nk.mnaulizana dini na ukabila mnataka kutambika?
 
Back
Top Bottom